@bingwawamagariused: 1,800,000/=Hii Gari kaniletea mzee wa kanisa nikaona nimsaidie kuuza, Anafanyia shughuri zake za kanisani, Ac hakuna labda uje nayo ww, Inataka Urudie rangi; mambo mengine iko Fresh, Gari GX 100, ina cc 1990 Call: 0711398600

MAGARI USED DAR ES SALAAM
MAGARI USED DAR ES SALAAM
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 12 February 2025 08:26:31 GMT
218451
8086
666
823

Music

Download

Comments

baracah_a.b
BaracaH :
Ngoja nije Google pixel 8 pro tufanye top u tajiri
2025-02-12 09:15:31
7
striker_1949
Striker_1949 :
Baloon hizo hahaa
2025-02-13 06:08:26
2
unforgettable_j6
♉️BIG J🎀💕 :
😂😂😂comment section duh
2025-02-13 11:22:36
1
dennislello0
Dennis Lello :
😂 Ac
2025-02-12 11:17:32
3
a.burghadt
A.burghadt :
I'm from Tanzania 🇹🇿 and you??
2025-02-13 13:00:03
0
kashially
kashially :
bei ya boda boda used 🤣🤣
2025-02-13 21:15:27
0
muddy.muzungu24
Muddy Muzungu :
Nina elf 25 Tajr😁😁😁
2025-02-13 15:04:39
0
fefe.brainer
Fefe brainer :
Goodluck gozbert akiiona hii atachoma moto😂😂😂
2025-02-12 20:58:31
0
prevo4real
prevo4real :
😂😂😂ac
2025-02-12 17:23:37
0
wisler_
Joseph Optatus Hilly :
Elewa ya kwendea Kanisani sasa wewe jifanye unaenda nayo Songea🤣
2025-02-12 10:30:17
267
julius7_199
Julius :
na redio haiwaki labda uwake wewe tàjiri 🤣🤣
2025-02-12 08:56:57
131
princesamtz_
Samuel Shukur 🤴 :
Huyo mzee namfahamu hii gari alinunua laki 3 jamaa mmoja ilimshinda akamuuzia huyo mzee baada ya kustaafu huyu mzee naye kumbe imemshinda kuna siku nilimuomba lift akiwa anaenda kanisani alivyosimama ikazima akaiacha hapo tukaenda kwa mguu aisee chukueni hii gari 😂😂😂
2025-02-12 13:55:27
54
alexchaula1
H.I.M 😮‍💨 :
Gari haitembei labda utembee wewe tajiri 😂
2025-02-12 12:15:56
55
lilly_patrick1
Lily_Patrick :
ngoja nijiwekeze mwakani ntapata ata ya laki tatu😅😅
2025-02-12 08:54:59
37
seckreto05
seckreto05 :
ukiinunua nakishauri usifute namba za bodaboda
2025-02-12 11:16:54
45
bintikaleb
Appy store🧡 :
Gari haiwaki labda uwake wewe tajiriiiiiii🤣🤣🤣
2025-02-13 19:45:49
17
eliudogalo
eliudogalo (ja naam). :
mmeskia ya kuendea kanisani,,akikisha haushi mbali na kanisa sasa jichanganye kwamba unaenda kupokelea mgeni mbezi mtarudi mnasaidiana na mgeni kusukuma
2025-02-12 14:56:51
12
ajily6
𝓐𝓳𝓲𝓵𝔂 OG :
na safar ya mbali haiendi tajir labda uwende ww tajir 😂🤣😂
2025-02-13 12:15:20
13
mzava055
Mzava54 :
mwenye gar alikua anaendea kanisan tu sasa jichangnye😂
2025-02-12 09:38:44
10
therealeddy1
Eddy✨ :
Hii ukinunua hakikisha wewe ni fundi,una gerage yako na duka la spea za magari tajiri😂
2025-02-12 13:56:49
6
To see more videos from user @bingwawamagariused, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About