@kepherpaul: Replying to @agnes33377 #HIV #tiktoktanzania🇹🇿 #tiktokkenya🇰🇪 #swahilitiktok #fyyyyyyyyyyyyyyyyyyy #storytime #fyp

kepher
kepher
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 15 February 2025 09:01:50 GMT
2132492
22074
1242
1517

Music

Download

Comments

king.chellah
King chellah 🤴 :
kikubwa nywele Hazinyonyoki mabega hayajapanda juu wacha niseme alhamdulilah Ila kupima ndo hapan😂😂😂
2025-02-20 08:10:35
390
riadyfaraji
Riady mruma :
kwo ukimwi mzuri hapo ni huo unaochora 1 au 2????
2025-02-16 07:56:02
126
vinah962
vinah💋💗💖💗 :
sasa kwahiy kumbe ikisom mstal mmoja kumbe bado nina ukimwai 😂😂 ukimwi +ukimwi= ukimwiring😂😂😂
2025-02-15 14:54:29
89
amaina185
amainaamaina941 :
mm nilipma ukasoma mstali 1 ila baada ya masaa ikawa mitatu ila mmoja mwekundu miwil orange ila kwa mbal nikashangaa
2025-02-15 12:49:38
31
jante413
MAKASI BOY :
mimi nina group o-negative lakini kila nikipima ukimwi akicholi mstali wowote sijajua nini
2025-02-15 20:45:21
46
grathom6484
Grathom :
mm nauliz kwnn mtu ukiend kupim wakajut hauna wanakwambia ukapime baada ya miez kadhaa et
2025-02-16 14:25:17
29
p.didy3
P Didy :
Hakuna cku nilifrah kama jana nilipokua naenda kupima nikakuta kituo kimefungwa
2025-02-17 10:07:21
35
po8998
Po :
unprofessional personal 🤣🤣🤣
2025-02-15 13:08:34
15
mickywills.elegance.empi
Mickywills Elegance Empire :
niwe tu muwazi sipimi mbaka wagundue dawa 😂😂😂😂
2025-02-15 19:16:02
14
winrenax
Winner🫂♏️ :
Vipimo vinatofautian au mbon me najuh 2 ni syphilis na kingin nd HIV
2025-02-15 14:40:52
7
suzanlubigili
suzanlubigili :
kama mtu Hana maambukizi inasonaje Sasa kama misitali yote ni HIV
2025-02-18 12:39:27
6
hgfffdghjnn
✨ :
napimaje ugonjwa wenyeww Hauna dawa
2025-02-19 14:58:41
13
prince.teddy40
Tee🌹🥀 :
nimetafta sehem y voice imekosa ila iko hv ,,,,Kipimo ukipima lazm itiki kwenye C" kikihaxhiria n kizima ko kama huna maambukizi y UKIMWI utabak mstar 1 tu kweny C " n ikitokea mstar wa 2 Tena bhs we
2025-02-16 11:48:34
23
prince255748966567
prince 🤴hb.boy :
kwahy hapo inaonyesha mtu ana ukimwii?? au hana?? na kama hana inasomajee na kama anao unasomajee naomba kujua hilo please
2025-02-15 19:41:28
6
vailethykusati
Vailethy Kusati :
mbona utuwaelewi mimi nilipima jibu lilikua Two na nikapewa ongera kumbe yote sio kweli naomba majibu sahihi unatuchanganya
2025-02-18 20:09:52
5
fatuma.sungura6
Fatuma Sungura :
kunasiku nilivurugwa nilipima ikasimamia c baada yakulala kuamka nakuta mistar3 nikampigiq dokta akanambia majibu sahih nidakika 10 hd20 kifuatacho nizombi kinageuka nilikitupa haraka sitak stress mm
2025-02-16 14:17:20
6
ishii718
ishii :
jmn mbona mtu wa lab aliniamby ukiona umechora moja huo ni ukimwi wa tz ila ukisoma moja na mbili jua huyo mtu anamaambukizi ya ukimwi wa tz na wa nje ya nchi aloo
2025-02-15 20:34:05
7
daxmorgan1
Morgan dax :
kuna time nilijipima na iyo kitu alafu nikaitupa bila kuona result🥰👍 makofi kwangu👏👏
2025-03-06 14:37:21
5
0dilia7269
Odilia 7269 :
we kwenda c Ina contro nn mmoja auna miwil tayar mitatu dakika zimezd 30 kuendelea usipotosho watu
2025-04-07 17:54:40
0
thesun7742
zero to one, the sun to the 🌎 :
haujui kueleza...
2025-05-08 13:58:34
0
user6386868124907
kendy :
mm umenichanganya na kama mtu hana kabisa..itasemaje.??
2025-02-21 20:38:33
0
tricy47
TeeMeela🌹🦋 :
Mnazidi kunichanganya kwaiyo ukipima ikionesha mstari mmoja n HIV pia😩😩😂😂😂😂😂😂😂
2025-02-25 19:11:57
1
charmychicca
charmychicca :
me naomb kujua mweny hiko kipimo na Jambo nae
2025-02-17 06:43:06
1
user2107697815111
John :
Nakama mtu hana inasomaje kama 1 ni HIV NA 2 ni HIV Huoni ww nimuongo jifunze tena uje utoe ushuuda
2025-02-23 07:36:01
1
dulladulla79
Dulla Dulla :
hii nayo sipimi hata munishikie bunduki
2025-07-15 11:40:44
0
To see more videos from user @kepherpaul, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About