yani me nilikuwa bize kuangalia sare za police🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-02-17 11:06:36
10
Brigyte B Ottichiloh :
hizi uniform huku kenya ni za NYS ama🤣🤣
2025-02-16 20:16:17
8
user7994078534400 :
Ukiona inchi za watu ziko na Amani zilipiganiwa Huyu ni mmoja wa masuijaa
2025-02-15 16:46:02
6
mwema elias :
wakulaumiwa ni mussen na mwanae wanataka nchi iwe ya familia
2025-02-15 18:53:46
5
khadija :
mm mbn sielew amefanya kosa gan
2025-02-15 15:28:33
5
user4185044194534 :
Mpaka Awafie mikononi Mwenu ?
Ndipo mtaamini kuwa Mnamyanyasa tena Vya kutosha ! Waafrika kweli Ni nyani Alie dumaa ktk kubadilika !!
2025-02-16 20:33:02
4
VERAH-CROCHETS ❤️ :
ugandans wake up , misenzi
2025-02-16 17:18:11
3
alphonce :
kwanini mnatesa wapinzani hivyo ninafikiri nchi ni ya watawala tu ,ipo siku
2025-02-16 17:58:51
3
@Godreem :
#free Dr kizza Besigye
2025-02-16 17:03:51
3
Martin Maitima :
what have these people done to Dr.Bisige?
2025-02-15 12:07:34
3
magreth :
mungu bomoa hii Dunia tuanze upya kwamaana tumekuwa tukikuomba utupe viongiz bora na sio bora kiongoz ona tunavyo teseka wanyonge 😭😭
2025-02-18 06:57:19
3
Terry Ben💞 :
hao dio police wa Uganda ama kuna wengine
2025-02-16 21:50:07
2
nyakwar Amiila :
this is not fair,.
2025-02-15 20:54:22
2
wilfredmicheni :
kwan waganda wamekua wajinga kiasi hii?mko wap wakati mkombozi wenu annyanyaswa bure kabisa nyinyi
2025-02-19 14:20:59
2
nyar samia original :
He looks so sad and defeated 😏
2025-02-15 19:40:03
2
jumauledishabani :
kwani akiachiwa atawapunguzia nini
2025-02-15 19:08:53
2
@moniquehamina46 :
uniform nia shamba ama ni zile za wacoloni😅😂
2025-02-15 18:58:59
2
Rick Ricks :
uonga tu utakufa ndio maana mnanyanyashwa
2025-02-15 11:55:40
2
queenngunda :
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙏😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2025-02-15 12:01:58
2
Novia Avgo :
Museveni ua day are numbered...free this man
2025-02-15 13:32:03
2
Maria :
😭😭😭😭😭😭😭
2025-02-15 14:02:45
1
Tutkun :
#justice for Doctor
2025-02-17 10:15:22
1
sabakamilisaba :
Africa, Africa, Africa bara langu ninalolipenda. Tuliaminishwa kuwa wakoloni walitutesa na kutuua bila huruma, ila kwa sasa wanaotutesa na kutuua ni nduguzetu wenyewe waliotuaminisha na wakombozi wetu
2025-02-22 19:32:01
1
Novela👩⚕️💉 🇩🇪🇩🇪 :
Uganda should wake up😭
2025-02-15 22:06:58
1
NestaMary :
I blame matoke
2025-02-16 08:05:52
1
ENGINEER ROBERT 20 :
wazungu njooeni tena mchukue makoloni yenu , watu hawajitambui bado 😥😥😥😥
2025-02-17 19:20:03
1
Ramatu Sheriff :
🙏🙏🙏 please God help my father
2025-02-17 04:53:47
1
njeriwakinuthia_2 :
surely living in uganda is like being is Assyria
2025-02-15 16:33:55
1
marthanqowi :
yahani ni huruma kweli
2025-02-16 17:44:57
1
Rono Julias :
ama wakenya tuingie hukooo
2025-02-15 18:27:36
1
peancy clarah :
so sad sijui mungu anawapangia nn hawa watu
2025-02-16 22:47:16
1
African woman :
viongoz wa Africa wabaya saana na wabinafs
2025-02-16 19:12:18
1
Senior George :
this nonsense Ugandan people surely
2025-02-15 11:23:30
1
Naommy :
🥲🥲🥲😪😪😪jaman kuwen nahuluma naye nimbinadamu kamanyee mung kamufanye wepes 🙏🙏🙏🙏
2025-02-19 18:01:11
1
unpredictable Man :
freedom for Dr Besigeye
2025-02-16 21:21:01
1
Fiacre muhesi :
wakoloni warudi afrika tumewachoka viongozi wa kiafrika
2025-02-16 20:51:39
1
farida aiko :
hyu ni kijana wa museveni anatesa Mzee wa wenyewe.. karma is real
2025-02-17 13:46:44
1
Zuri :
waganda nao wako tuu kama mazuzu
2025-02-15 17:06:07
1
The dreamer :
so sad😭😭😭😭
2025-02-17 11:52:27
1
bises :
apewe uhuru bila tatizo yoyote.
2025-02-17 15:44:19
1
masibo 001 :
Uganda is very behind.
2025-02-15 17:24:01
1
MCHOMOAJI :
kuma nyie wote mliopo mahakamani
2025-02-17 20:04:34
1
665.5 :
Leo NDIO nimeamini kuwa binadamu TULITOKANA na nyani🦍
2025-02-17 20:45:06
1
PHILIPO :
haya ndo mateso wanayopitia wanasiasa wa upinzani ktk mataifa yasiyoendeshwa kwa misingi ya kikatiba wala kisheria ikiwemo Tanzania.
2025-02-17 21:43:03
1
Bukhari Hussein :
sorry lot of pain
2025-02-17 21:18:57
1
hamidu :
hivi hamuoni wakenya ingekua kenya pange chimbika the bst kenya japo mimi nimtanzania
2025-02-17 16:37:16
1
Jwalowe :
mtoeni jamanii amedhoofika sana
2025-02-19 06:00:10
0
Wan_jiruuu🌴🦋🧸🔐 :
❤️
2025-02-19 08:18:29
0
To see more videos from user @prisonlife001, please go to the Tikwm
homepage.