Hivi walitumia vigezo kulifanya hili pori kuwa Jiji 😄😄 bora Tanga mother land 😂😂😂
2025-02-16 19:01:38
14
Kevoowaliob@ :
daah serikali ifike mahalii iwavute matajiri wajenge hata gorofa ndefu ndefu hapo mbeya maana jiji limezidi na nyumba za ukoloni😁
2025-03-05 18:28:43
9
first..born1 :
Mbeya kwetu nakupenda Atakama Kuna gorofa Moja🤣🤣🤣
2025-02-16 19:09:19
17
Joseph :
How comes likawa Jiji??? 😢
2025-02-16 11:25:12
3
Eviry masck :
Jaman Mji wazaman ata habadiriki Duh Mbeya Bat nying zimetoboka
2025-02-16 04:13:45
6
ms. evo❤️ :
Mbona watu mna makasiriko na jiji letu ndo lishakuwa jiji endeleeni kulialia ovyo😂😂mbeya tunawalisha ndo maana ikaitwa jiji
2025-03-05 15:52:16
4
sweet muu :
wa uyole ya juu, chini, na kati tujuane hapa
2025-03-04 05:39:02
3
_its_just_nancy :
Mbeya🥰🥰🥰🥰 jiji la kipekee
2025-03-12 19:28:22
1
ulipambane :
vinyumba vya simike kinyaa! Mbeya nayo puu!
2025-02-16 05:58:27
5
FungoGB :
fika mbeya sasa ukutane na vumbi na matope ndio utaelewa maana ya nao wambeya
2025-02-20 01:13:18
2
Ally rajabu :
mbeya pazuri weka like
2025-05-02 21:11:47
2
Ochu outfits code :
mji umenipa utajir huuuu 🤣🤣🤣🤣 naupenda sana
2025-02-25 14:35:46
2
Twenty 6ix :
Hellow 👋
Nakukaribisha katika tour ya ya UNITY FOR CHANGE MBEYA tarehe 24/05
ticket 🎫 15k
charity 10k
maelezo zaidi..
0678502626
2025-05-12 09:36:39
1
Kelvin charles :
Taka taka amna jiji hapo
2025-02-16 04:55:44
3
KAKA WA SONGEA :
SONGEA NA MBEYA TOFAUTI RANGI TU😁🤣🤣
2025-04-14 12:37:21
1
D 4 real😘 :
kwetu Mbeya 😋😋😋
2025-03-15 11:10:09
1
blackpanther2600 :
Huo mji unahitaji kazi ya ziada aisee nimefika hapo mara 3 panaitwa jiji pengine kuna vigezo vyao walitumia sijui lakini kuna manispaa ziko vizuri sana kuliko hapo
2025-02-18 06:18:09
1
Beah wa Hudy🥰 :
Watu wa kwenye nyumba hizo wengine walizaliwa kwenye hilo ghorofa hapo,