@hamasikatv: Kijana usimsahau Baba yako . . . #hamasikatv #badilishamchezo #trendingvideo #motivation #tiktokviral #inspiration #mahusiano #familia

Hamasika Tv
Hamasika Tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 16 February 2025 05:47:08 GMT
57315
2795
107
384

Music

Download

Comments

1339vinskid
Vin's Black 🌹🌷🥀 :
Very True Ma'am 🙏
2025-02-17 10:43:23
0
user31055549715972
dama :
true
2025-02-17 11:39:56
0
joxephponda
ponda joxeph :
ha aha aha imagine nampigia yuko bar tutaelewan
2025-02-17 05:45:04
0
irene.shirima5
MZIWANDA :
😢rest in peace baba angu😭
2025-02-16 20:20:30
0
user7785577035726
FRANK KIM :
byeee
2025-02-17 19:10:48
0
mathewshayo0
Thegamechangee9 :
sure
2025-02-17 11:14:11
0
floyder_213
Floyder :
exactly 💯
2025-02-16 20:35:32
0
matiko.hura
MATIKO HURA :
M mpaka umri huu, sijawahi kuona baba ananunua hata mboga za jero anampa mama kuwa atpikie.Vyote n kwa mke mwenza, miaka mingi mama umenitoa mbali san
2025-02-16 16:12:49
12
hassankhamis881
hassankhamis881 :
Nyinyi wamama ndio mnatuaribu tukiwa bado wadogo
2025-02-16 07:12:36
13
user6256967611817
r7 one :
nimekupenda bure mama angu
2025-02-16 12:04:50
8
user3982396127586
El Maestro :
tunawapenda sana wamama zetu kwasababu hao wanatuonyesha mapenzi sana, its automatically done
2025-02-16 09:36:11
1
georgejohnmakoye
George Makoye :
Ivi unamjua mzee wangu wewe kauzu kinoma kwanza haamini kitu unachofanya mbali wao wanataka mulime na kukaa wote wazee wetu hawa jau sana
2025-02-16 13:50:21
0
gdsonby280
Gideon :
samak mkunje akiwa bado mbichi shida ukorofi
2025-02-16 20:15:11
3
user55220948205234
theleza Katwale :
sio kwa jinsi ninavyo mpenda baba angu kila siku napiga sm nikikosa salio hiyo siku mmh
2025-02-17 03:10:07
2
migosmwarabu
Moses l mwarabu :
Sababu ni kwamba baba kuwa na wake Wangi na hakuna matumz That's the problem
2025-02-16 19:15:36
1
elishandosi5
KIBOKO YA WAKENYA :
sababu kubwa ni UMASIKINI ,baba anajulikana kama super power wa uchumi wa familia,kama mtoto aliwahi kulala chini bila godoro,alishawahi kosa ada,alishashinda na kulala njaa,alishakosa nguo,alishalala nyumba mbovu ,upendo Kwa baba ni mgumu sana atakuwa anajifosi tu.
2025-02-16 18:16:05
1
hellen.panga0
Mrs panga(Hellen)🌹🌹 :
mungu nitunzie baba yangu mpe miaka mingi na yenye heri hapa Duniani 🎉 nakupenda sana baba yangu ni wewe tuuu
2025-02-17 05:50:18
3
user1328777538792
marki joseph :
Wazazi wote nisawa ugomvi wamama na baba haunihusu
2025-02-16 14:55:06
2
stevekanyikea
Steve kanyikea✅ :
Duuu😭😭
2025-02-16 11:50:19
2
jtmassawe
JT255 :
kweli kabisa kabisa
2025-02-17 15:11:29
1
mussajackson33
MJ :
mama angu Mimi hana muda na simu simu ni kwa baba
2025-02-17 08:55:32
1
julias.lukumy
Julias Lukumy :
mim sina Baba nimpgie nani☹️
2025-02-17 07:14:51
1
user6044543482424
shebe msangi :
mmm mzee wangu nisalam tu amesha kata sim mambo mengi mno
2025-02-17 03:57:10
1
37582569ni
Nickson agwambo :
ninakuombea miaka mingi umenigusa
2025-02-17 03:14:10
1
user5228126617129
lemalimollel :
pokea maua yako mtumishi
2025-02-16 20:26:02
1
To see more videos from user @hamasikatv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About