That is me . Sometimes I cry 😭 why I have this heart ❤️
2025-04-01 22:35:27
89
user61787452360242 :
sema roho nzur inatesa sana yan unaumuia ww sio wao some time mtu unataman ata hyo roho mbaya
2025-04-01 11:50:57
138
faddy feisal truck driver :
nimeteseka sana na hii roho now nimebadilika sana 😢 🙏
2025-04-01 14:28:49
47
CHEY :
mimi mtupu🙌
2025-02-19 10:43:18
20
Nuru :
mbona umetaja sifa zangu kabisa umejuaje
2025-04-03 14:20:13
5
Ahmady Filimbi :
kwa heshima 🙂🙂
2025-04-04 08:53:55
3
khahirpat :
uyo ni mimi kabisasa
2025-04-01 08:02:53
25
Stellah calisto :
Mimi apa 🙏mungu nisaidie
2025-04-01 21:30:16
9
kibali products ✨️ :
huyu mm kabisa
2025-04-06 14:05:08
1
@Gholder% :
mapnz yanatutesa baba umesahau💔💔💔
2025-04-04 03:24:34
6
stella. :
yaani hata sijui nifanyeje maana kila siku yananikuta
2025-04-04 11:34:33
3
user5346166656124 :
umesahau wakitaji wao msaada inakuwa ngamu 🥺
2025-04-09 20:56:20
6
Ayesha saido72 🇰🇪🇸🇦💕💞💙 :
hamdulillah 🥰🥹🥹🥹🥹
2025-04-04 17:37:13
1
Ashura 💝💖 :
najifunza roo mbaya maana napigwa matukio
2025-03-19 11:55:03
6
jacquelineonesphory :
umesahu moja tunateswa na mapenzi sana😭😭😭😂😂😂
2025-04-03 14:06:09
14
faysamziwanda :
ni mimi kabisa jaman kama umeniona sina marafiki na ninmwepes wa kumwamin mtu. mwisho wema unatuponza kitu kingine tuna hasira sana na ni ngumu kuolewa wanatuogopa wanaume kwa sababu ya hasira sijui
2025-04-01 14:05:26
11
𝖈𝖍𝖗𝖎𝖘𝖔𝖘𝖙𝖔𝖒 :
hii roho inanitesa sana mpaka sasa nashindwa kubadirika kuwa mbaya,yani hii roho imenifanya nizalaulike na kuzulumiwa pesa zangu kwa watu niliowakopesha asee NAICHUKIA SANA Basi tu nashindwa
2025-04-01 19:42:21
5
vicky❤️💯 :
jmni uyo ni mm kabisa nikichukia mpaka nalia lkn nikishalia asirq zinaisha na nawez kusemq sitomsaidia tena lkn ukija kunililia shida najikuta natoa na nikishatoa najilaumu sana lkn muda huo nishatoa
2025-04-05 13:04:28
4
sophy fashion tailoling🥰 :
huyo ni mimi kabisaa lakini sina bahati ya kupendwaaa😭😭😭
2025-04-07 08:48:48
1
Amina Mbukwa :
kweli kabisa
2025-04-02 06:44:04
1
phina :
kwer kabisa
2025-04-04 17:55:03
2
mama Tasha baby 💕🥰 :
Mimi huyo kabisa
2025-02-20 12:42:31
2
user7124799680262 :
Nipo hivyo, sasa tunaomba msaada tuweje, maana daah! kama mimi nimeishia matatizo kwa kuamini watu.
2025-04-03 16:43:04
2
Angel'B :
Ni mimi akiii 😅 wallah
2025-04-05 10:37:14
2
To see more videos from user @ubinadamu, please go to the Tikwm
homepage.