kwani sheikh ata mbna tumeambiwa ukisoma ikhlass kadhaa ni msahafu mzima .ur not encouraging bt discouraging please elezea vzur
2025-02-23 15:13:35
3
AhmedSimba@@ :
Umesema kwl aki apo
2025-02-23 10:59:23
2
Kisala Event Group :
fact📌
2025-02-23 08:49:08
2
Yusuf Chiko :
huenda huyo anaesoma kuluahu anaubora mbele ya Allah kulikoww unaesoma msahafu mzima
2025-02-23 05:20:36
6
Ali Mwinyi :
uyu jamaa ktk maoni yangu anatia wa2 hamasa yakusoma quran....
shida nihekma busara hana, ndio mungu kasema
(aliepewa hekma kapewa elimu kubwa)
2025-02-23 11:17:36
5
Beyrek :
naomba niulize ,kwani lazima usome sura ndefu ndefu kweny swala.?!
2025-02-23 12:44:35
3
Expse :
unassema Kweli sheikh kusoma sura hizo hizo inapunguza hushui katik swala Mimi naona nimiongoni mua watu awo
niombee dua sheikh nitafute ilmu nifanye ibada zangu kwa ubora Zaid!
2025-02-23 11:12:39
3
Abuu Reelan :
watu ndiyo maana huko msikitini hawaendi sababu ndiyo hizi kukatishana tamaa
2025-02-23 10:14:49
1
zalhat :
jamani mbona huyu shekhe nkama namkumbuka hv namjua alwahi nifundisha madras moja mwanza sindo yeye jina alkua anajiita nurden sindio? mjimwema qiblatain
2025-02-23 13:21:25
1
Abou Abou :
HATA.MIAKA 50 NITASOMA SURA HIZO KAMA UMECHUKIA ZIONDOE...
ONGEZA NA ALHAMDU MAANS KILA RAKAA YASOMWA
2025-02-23 20:53:18
1
OfficialKp :
Kuna shida kwan kusoma sura baada ya surat fatiha n sunna na unasoma sura yoyote unayotaka
2025-02-23 06:07:04
2
ABUU JAMAALAH 🇯🇴 :
Sasa shida yake nn ukisoma Qul huwa Allahu mpaka unakufa?
2025-02-22 10:29:23
3
Tulizo ❤️❤️👌 :
Allahu Akbar
2025-02-23 19:44:39
1
Abuu :
unapokuja ukumbusho wenye Mana wew usiwe mtu wa Oyo kutowa majibu
2025-02-23 19:33:27
1
ABDULL :
daaaa masheke wengine ovyoo Sana ata ukisoma ikhlas adi ufe shida iwapii...
2025-02-22 10:31:05
1
user357790971463 :
shekh zote ni haya za mwenyezimungu tukumbushe na hekima
2025-02-23 18:36:38
1
Mr.HIM🇰🇪🇰🇪 :
pegine uko sawa pegine umekosea mmi sitakuhukumu lakini kabla ya kutowa mawaidha ndugu yangu fikiria kwanza kwa kile unaenda kutowa kwanza hutuba ya jamaa mskitini sawa
2025-02-23 18:34:25
1
bean✌ :
😁😁😁 kweli kabsa shekhe wangu🤣🤣🤣
2025-02-23 18:24:35
1
Dadi Alphan :
Quran yote ina muhimu atakama ni surah moja
2025-02-23 17:46:02
1
RABBATUL-BAYT❤️ :
ustadh tume kuelewa.
2025-02-23 16:43:34
1
مسطف عيس :
kweli
2025-02-23 15:47:01
1
Ahmed Daruwesh :
Hili shehena linatakaza nafsi
2025-02-23 15:17:37
1
t :
kwani maswahaba walihifadhi msahaf mzima? kila mmoja na ufahamu alopewa kueni na hekma
2025-02-23 14:52:52
1
user352832858807 :
Dah umenigusa san yan huyo ni mim kabsa
2025-02-23 14:15:40
1
khatibabass :
kulabinnas ni sura Gani?
halafu sura ya lazima (NGUZO )nisuratul fat-ha Sasa nyinyi mnaosoma Yasin mna maana gani
2025-02-23 06:47:22
2
To see more videos from user @khamisaby, please go to the Tikwm
homepage.