pia wenye shida ya uzazi,sijui hormones imbalance ,hawapati period,kujifungua upesii hilii ni hatarii yani linatenda chap?
2025-02-23 19:32:24
28
Queen :
kwakulipata ndo shuhuli sasa🌹
2025-02-23 14:58:49
41
RABBATUL-BAYT❤️💜💜💜💜💜💜 :
yanauzwa markiti Mombasa tafteni mtu mumtumie pesa atatumie
2025-02-23 20:17:07
26
Rabia_001 :
nilkuwa nna mimba ya 1 Kuna m2 alinambia hutazaa basi clinic ya mwisho Dr kakata tamaa akanambia next wek operation nilitumia hili siku tatu , ya nne uchungu nusu saa mtt Alhamdulillah sijawah kuliach
2025-02-24 01:54:37
111
mishahass471 :
WALLAHI nilivoliona nimeshtuka linatisha hilo Ua acha liwe tiba ya Wachawi inshaallah ntalitafuta
2025-02-23 19:17:32
37
Ummul Ramadhan :
Shahrat Mariam, loweka kwenye maji kisha oga cku uwezazo usiogee chooni wala bafuni ugea sehem isiyo na najis kama utaweza seblen kwako chumbani jikoni dining popote sio chooni na co lazm nje ya nymba
2025-02-24 08:18:59
25
@niram_cappuccino :
ninalo ni zuri sana
2025-02-23 17:16:12
13
@carol_ Officiall :
Unaogea bafuni au nje ? Na je unaoga na sabuni au
2025-02-23 19:21:13
5
Los angeles :
nilikuwa sipat period sku 2 tu nmeloweka kunywa na kuoga nkapata 🥰
2025-02-23 18:48:49
16
gentrygal :
nenden maduka ya kisunna au duka za dawa asli ulizien shajarat maryam
2025-02-23 15:49:17
72
حبيبة :
hii ua lasadia sana upande wa mazazi ukimpea mwenye uchungu wa uzazi yuwazaa salama sanaaa tena na sanaa
2025-02-23 18:42:50
14
failuna kamau :
Dodoma linapatikana kweli hili?
2025-02-24 18:34:24
5
salmasheby2 :
n kwa mzazi ,,,anae karibia kujifungua hakikisha unafika hospital halafu ndugu zako ndio watengeneze dawa ya hilo ,,,,km utatengeneza ukiwa nyumbn utazaa njiani
2025-02-23 18:02:22
6
mooo :
ninalo mwenye shida anitafute
2025-02-23 20:04:03
5
fathush01 :
hata markiti ypo kwenye hzo duka za maspices
2025-02-23 19:09:05
5
Mamy Chala :
mm ninalo nikwel lin maajabu yn mwachen Mung aitwe Mung
2025-02-23 20:31:14
13
Nanna♎️ :
You can drink also we use this for easy and quick delivery
2025-02-26 03:24:48
5
Bella CollectionsTz👗👙👠 :
Naenda kulitafuta na kulitumia kwa imani naamini vifungo vyote vitafunguka kwa uweza wa Mungu🙏🙏
2025-02-25 12:10:47
5
precious 💕 :
nauza nko nairobi naweza tuma kama parcel
2025-02-28 08:20:51
0
Amazing Mine💯 :
mimi ndio mkulima. wa hizo maua jamani mnaeza itisha Kwa whosale
2025-02-24 09:34:28
4
man_nasco59 :
lina itwa qaf maryam
kiarabu كفةمريم.
2025-02-23 20:55:50
2
user6295337493355 :
Kenya ziko
2025-02-23 17:12:54
0
miss angel :
sasa ss wakristo tunatumiaje jmn????
2025-02-26 07:07:54
0
mumji :
jina la kizungu tafadhali
2025-02-24 07:52:09
1
Basam Leo :
mi niliàgiza kutokea Tanga nikaletewa mawil je ukisha liliweka unaweza loweka tena siku nyingine
2025-02-26 19:54:40
4
To see more videos from user @goldenspiritoffortune69, please go to the Tikwm
homepage.