Hahahah hivi unamjua mwanangu wee,
ukimwambia maisha yanasiri kubwa sana,
atakuuliza "kwahiyo dady weye hujui siri ya maisha"
asa si ndio niambie hiyo siri niijue au hutaki hahahaha
2025-02-24 20:45:45
7
official lizzy :
MUNGU upo guys ombeni bila kukoma
2025-02-25 07:02:10
5
MOHBAR :
mkumbushe mwanao kua anae muona mlinzi getini sisi kwetu mlezi wa familia
2025-02-26 10:43:45
2
Ambrose Wara :
kwaiyo tuwe wavivu ama
2025-02-25 12:36:15
1
Nur🫀🌹 :
una baya nakubali🙏🙏🙏
2025-02-25 12:04:58
4
Mummy's🌈 Queen 👑🏳️🌈🌈 :
Acha tuh nifanye bidiii juu sina connection,
2025-02-25 08:51:46
4
SIDE BOY :
Maisha ni Formular
2025-02-24 20:21:04
3
hussenhamimu2 :
nipe Izo siri
2025-02-25 08:24:18
2
abduljaculi :
100%kweli
2025-02-25 07:55:14
2
Imran khan :
kweli wallahi
2025-02-24 15:39:00
3
Jaguar talent :
Yani hapo mpaka awe na A ndo anaweza kuelewa umetisha sn
2025-02-24 15:32:41
3
Gaddafi :
nilimpoteza mwanangu na mke natamani ningemfikishia ujumbe huu kazi ya Mungu haina makosa Alhamdulilah
2025-02-25 21:39:56
1
user9805939591396 :
kwakweli
2025-02-24 22:02:31
2
To see more videos from user @mbalaa_faki, please go to the Tikwm
homepage.