Wahabi wa pili baada ya doctor islam kuyasema haya. Mtaelewa tu, 🤣🤣🤣. Sheikh Abuu Idd Allah akurahamu uko uliko.
2025-02-26 08:06:02
10
Aydarus Al Nadhir :
Atleast leo umeongea kitu
2025-02-26 07:53:37
5
منورة :
mwenye hii account amuogope Allah ..aache kufanya dini ni ushabiki ..watu wanazungmza jamb la kielimu yeye analifikisha kishabiki ili iweje !!? ALLAH AKIKUULIZA JUU HILI UNA MAJIBU NALO?
2025-02-26 08:53:59
2
noor_deen :
Allah amrahamu abu iddi.
2025-02-26 08:19:27
4
IBN mo :
hapa kama unaleta ushabiki bila elimu huwezi elewa kitu kama alieta maudhui hii hajaelewa yeye kaleta ushabiki. ukisikiliza kwaajili ya dini utaelewa nin anazungumza
2025-02-26 09:10:33
3
Rashidi Mustapha :
tutaelewana tu mnapo ambiea somen hamtak mnaburuzwa tu mutaelew tu
2025-02-26 07:52:58
1
akiy Suleiman :
BABDEO UPO NYUMA SANA HII AUDIO NI YA ZAMANI KILA RAMADHAN ZINAKUWA ZINATUMWA NA HUO NDIO MSIMAMO WAKE SHEKH ABDALLAH
2025-02-26 13:04:35
3
alisalimkhamis6 :
Allah amesema usimtusi kafiri mbona nyie munamtusi muislam mwezenu nini maana ya ghurafiy
2025-02-26 07:28:01
0
Abuu Mapunda :
huyu anakubali kwa sababu kadhi wa kenya ni katika wao
2025-02-26 12:19:20
0
onearmy22 :
kauli ya kusema "hakuna mwanawachuoni ndio aliyesema hivyo lakini kuna kauli ya mwezi kuandama popote " na sisi hatusemi tunafunga mpk suudia uonekane , hapo asipotoshe yeye abaki na mtazamo wake.
2025-02-26 11:31:08
0
Jamal Awadh :
Yamekuwaje
2025-02-26 07:17:37
0
ABU BAASIL RAJAB NUH :
sasa aliekwambia ufunge na mwezi wa Saudia Nani ?
2025-02-26 07:02:06
0
maraone_technology :
Imekuaje kwani? 😃 😃
2025-02-26 08:47:35
0
Nurdeen :
tutaelewana2
2025-02-26 07:27:28
0
ABU BAASIL RAJAB NUH :
Tanzania ni mashafii ndio wengi na inatakiwa kuafikiana kwasababu inaangaliwa aghlabu na kuna wanao fata madhehebu ya kihanabila kwahiyo msilete uchochezi mambo yako wazi tatizo hamsomi
2025-02-26 07:04:26
0
sr.Hkl 🇹🇿 :
wachache ndo wamemuelewa ila wengi na na mpostiji amepostisha kishabiki kupata viewer . kama vile mhariri wa gazeti
2025-02-26 09:36:36
3
Twaharism Kingdom :
sisi twafunga kwakuonekana mwezi popote pale duniani.
2025-02-26 11:49:25
1
Sameer Ali :
Sheikh Humeid uko sahihi
2025-02-26 11:31:54
1
Mbarak Hussein AL-Fadhil :
mawahabi wampigia debe kadhi sahii juu ni wao... miaka yote hyo alkua wakimpinga ati ghafla sahii tufuate khadhi wee twaijua hyo... Mufti ndio kusema.
2025-02-26 10:54:50
1
ABU BAASIL RAJAB NUH :
wakina barahiani ndio wamekuja na mapito ya ajabu na misimamo ya ajabu lakini hakuna salafi anasema ufunge na mwezi wa Saudia isipokuwa hayo ni mambo ya kimadhehebu Zaid
2025-02-26 07:03:11
1
Rishque :
Wallh mitihani kwel Mbn mwachukia masalafi
2025-02-26 14:21:07
0
Said Aljabry :
Alhamdulillah Kassim Mafuta tushambeba bado Bachu😀
2025-02-26 13:43:25
0
ABUU JAMAALAH 🇯🇴 :
Watarudi mdogo mdogo tu, mawahabi wazee wa tawhidi tatu kama za wakristo ni hatari
2025-02-26 13:11:21
0
To see more videos from user @miladu_tv, please go to the Tikwm
homepage.