Kaka me naomba,,unielekeze mana kuna mtu anafatilia messenger kwenye akaunti yangu
2025-02-27 10:24:36
1
Richard Tausi :
Sako kwa baki kaka,Tujuze zaidi
2025-02-27 08:45:52
1
Mr._nnoce :
namba yako bro
2025-02-27 16:21:13
0
kauti$₩ :
oy broo nisaidie apa akaunt yangu ya Facebook haiongezi malafiki Ina taka mpaka nipunguze malafik ndy niongeze tena
2025-02-27 11:09:48
0
NICKLAX. OG :
Mr naomba unifundishe jinsi ya kutengeneza Facebook page make account yangu marafiki wamejaa
2025-02-27 09:24:12
0
bunyata nyasonga :
habari Mwalimu wangu! naomba kunisaidie kuongeza marafi zaidi ya 5000 facebook
2025-02-27 09:00:44
0
The DF4 twins_G :
bro account yangu ya tiktok sasa hivi siwezi kubadilish chochote mfano profile picture, username na hata jina.pia nikimtumia mtu ujumbe hauendi
2025-02-27 08:59:49
0
asimetha :
Asante sana
2025-03-04 17:04:41
0
Subira @2000 :
me account yangu ilishachukuliwa na mtu kabadilisha password anatapelia watu nikitaka Ku log in automaic najikuta natumia account ya mtu ambae hata simjui
2025-03-04 12:53:07
0
yass boy :
nataka video zang ziwe "FOR YOU" na co "FOLLOWING" nifanyej??
2025-03-04 10:16:22
0
FURSA REAL HERO BEAUTY PRODUCT :
nataka kuongeza Followers naongeza vipi
2025-03-03 00:57:40
0
Bashir Kenfrey :
kutengeza ghost account inafanywaje kwa Facebook
2025-03-02 19:54:51
0
I.A Poverty :
huna baya kiongoz 🙏🙏
2025-03-01 17:06:00
0
kitechi :
thnks
2025-02-28 19:55:07
0
MR G CLASSIC COMEDIAN :
mambo vp mr m nahtaji tuonane 1 kwa 1 kuna mavitu nahtaji unielekeze
2025-02-28 17:50:59
0
🤩 smile girl :
naomb unifundishe jinsi ya kuw na recyclin bin kwenye sms
2025-02-28 12:12:04
0
milymo Qwaka :
follow me
2025-02-27 20:49:57
0
migambimaan‼️ :
please tufunze how prevent posts zawatu wana post kwenye profile yetu
2025-03-01 15:58:57
0
jafari Mdudu :
follow me
2025-03-01 15:28:45
0
To see more videos from user @techs.land, please go to the Tikwm
homepage.