Huyu Mafuta mrongo amebadili msimamo kwa sababu ya maagizo ya Saud
hawataki tena
saud ametoa agizo ni kutii watawala wakitwaghut dunia nzima
2025-02-27 12:43:33
1
MANHAJ SALAF. :
SHEKH WETUQASSIM MAFUTA ALLAH AMHIFADHI
2025-02-27 19:08:00
3
usigi44 :
Watengeneza sauti.
2025-02-27 18:37:59
1
Your_Medicine :
Miaka mia moja iliyopita hakuna tv wala simu kujua kama saudia wameona mwezi,je kenya walikuwa wakifwata nini?
2025-02-27 18:51:28
0
waliid070 :
Allhamdullah naona watu wameanza kuona haki Allah atuongoze sote twamsubiri bachu nae aone haki awachane na chuki kwa waislamu wenzake
2025-02-27 12:46:52
0
user7486816771088,mossi :
Yani haya mambo kwakweli..Tanzania na Kenya mnatuchosha kila mwaka mizozo Ata Aibu hamna 😏😏
2025-02-27 12:31:50
0
HAQQ NA UKWELI :
🤣🤣🤣mafutaaa
2025-02-27 11:27:45
0
Mussa Abedi :
shekh anadharau mpaka anakera. inamaana basuta hawajui
2025-02-28 06:38:41
1
Yahya Mohammed :
hili jambo limefanywa la kisiasa badala dini
2025-02-27 12:35:46
1
32forlife :
hio picha ya sheikh imehusianaje hapo acheni hayo mambo nyie
2025-02-28 08:36:30
0
Mahamoudu Bolisa :
akili ya hovyo baki kwenye msimamo wako
2025-02-28 06:14:54
0
user3432081681176 :
wagaagaa na upwa humedi ashafafanua.haki itaolea tu..
2025-02-28 06:04:06
0
Shamsudeen̈ ✨️ :
Alaf kwani maneno haya yana tatizo gani?
2025-02-28 04:20:53
0
Shamsudeen̈ ✨️ :
Ninyi washenzi msiwe mnaweka weka picha pasi na ridhaa ya mwenyewe, mmajipatia madhambi kilaini kabisaaa
2025-02-28 04:19:15
0
GAIHIGUUL :
dilele ywapinga
2025-02-28 03:11:35
0
user423514684272 :
Sio kweli, huwo ndio msimamo wake tangu zaman haja badilika, labda naweza kusema wanafunzi wake ndio wanaofany ushabiki,,,,
2025-02-27 20:20:51
0
ANONYMOUS USER2024 :
MAWAHABI
WAONGO WATU WA TAKFIRI TU
2025-02-27 19:46:48
0
hamzayusuf887 :
semini ukwelu musijifiche kwenye shamba la karanga vilee mnavotuita sisi makhurafi nantinyi museme tu sisi mawahabi musibadilishe jina lenu
2025-02-27 19:02:05
0
user8670841976627ustadh :
et zilikuwa zinatumika vibay,kikukbwa nikusoma ukisubiria shekhe utakuwa kama bendera fata upepo
2025-02-27 18:35:01
0
Mbarak Hussein AL-Fadhil :
wanaona haya kufuata Saudi bada ya vita vya gaza kubaini unafiki wao na pia kufanya riyadh concert
2025-02-27 18:28:04
0
Abuu Swafwan :
pameanza kuchangamka
2025-02-27 18:21:05
0
kingwagu :
hawa makhanithi kila siku ni maneno ya mwezi mara kuitana majina ya ajabu ajabu kisa tu, tofauti ya itikadi za kimadhehebu. pumbavu
2025-02-27 17:24:23
0
safari nisafari7 :
Salaf hawana akili huyu mtumishi wa matwaghut kabla hajaambiwa na Saud kuachana na msimamo huu wakimuona yupobkatika haki
leo kacheng pia wanaona yupo katika haki
salafy ni matahira
mwezi
2025-02-27 16:50:39
0
safari nisafari7 :
@safari nisafari7:Salaf hawana akili hutu mtumishi wa matwaghut kabla hajaambiwa na Saud kuachana na msimamo huu wakiona ndio haki leo kacheng pia wanaona yupo katika haki
salafy ni matahira
mwezi ni
2025-02-27 16:48:35
0
safari nisafari7 :
Nyie yahudi?
leo ndio imekuwa kauli sahihi?
halafu kauli yw jamhur ndio kauli yake?
2025-02-27 16:44:08
0
To see more videos from user @ali.faza, please go to the Tikwm
homepage.