@mr_othman_tz:

MR.Othman_tz📢
MR.Othman_tz📢
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 28 February 2025 16:01:25 GMT
378139
11846
450
13915

Music

Download

Comments

rosedaud819
retinol 6565 :
Mimi ni Mkristo ila Mtume MOHAMAD NAMKUBALI SAANA.
2025-03-01 03:52:56
209
jose_chikunde
Joseph Chikunde :
Mtu ukishapata kisukari hakuna chochote utakachotumia upone bila kubadilisha ulaji wako na kufunga
2025-03-01 01:32:02
33
ziada.mohd
Ziada Mohd :
Na pia unaweza kutumia nanaa,cotmir ,na vitango vya bara vile virefu vya kijan unasaga kwa pamoja unachuja km.juice
2025-02-28 20:52:36
19
safari.nisafari7
AbuuSuhaib :
Tapeli kwenye ubora wake
2025-02-28 20:07:59
4
user7232213435972
user tony tony :
sheh mimi najua dawa ya kutibu figo uwakija 100% nikupateje nikupe daw hii usaidie watu wenye matatizo ya figo na dawa ni ndogo mno ndani ya siku saba
2025-03-08 02:48:41
5
user5520846956376
user5520846956376 :
Huo ni mmea unaojulikana kama snake plant.kwangu uko lakini kama mapambo na kusafisha hewa kumbe dawa ya kisukari😟
2025-04-03 17:59:51
1
tiktok.comsuleiman0
Suleiman :
Ni kweli lakini? mana wagonjwa wa sukari ukiwapoteza njia kdgo umekata uhai wao. kwaio muwe makini kuwapa watu dawa.
2025-03-01 04:40:01
7
janejoseph435
noah :
mm niling'atwa na nge nilipaka utomvu maumivu yaliisha haraka sana
2025-02-28 21:11:26
9
duadua7065
M :
snake plant kwa kiingereza
2025-02-28 18:32:20
6
deus2488
deus :
Naomba nijue mko wapi
2025-03-01 08:50:47
2
abdulrazakkea
Zaujia :
asalam aleykm shekhe naomba daw moyo kutanuka
2025-02-28 20:10:20
2
mohamedmatataiddi
Mohamedmatata Iddi :
ASALAMU ALAIKUM WARAKHAMA TULLAH.SHEKHE USAHAU KUWAFANYIA DUWA NA NDUGUZETU WAKONGO
2025-03-01 09:58:46
3
youngprezdarog
young prezdar :
moja kati ya vtu vnavyofanya naipenda hii dini ni kujari na kuthamin dawa zetu za asil
2025-03-03 06:35:12
2
ommywatanga
Ommy Watanga :
Safi sana shekhe wangu,hizo ndio elimu zinazo takiwa kumfundisha mwafrika kuhusu mimea hiliyo mzunguka kuwa yote ni tiba! hila wengi hawajui
2025-03-07 14:48:11
2
graciousakida
Gracious :
maelezo hayajtosha karoti haina dozi ?
2025-03-01 20:18:51
1
pascalmourice2
pascalmourice70 :
mbona haina carrot wala kiazi ni tumizizi tudogotudogo tu
2025-04-02 07:05:20
1
tshibolambelu8
Tshibola Mbelu :
iyo si sumu?shehe?
2025-03-10 22:12:11
1
hump906
Hum p :
dawa ya kisukari ipo nitafte tu
2025-05-31 14:40:50
0
mashika.mwatumu
Mashika Mwatumu :
ulimi wa mama mkwe
2025-02-28 19:04:42
4
user119098781528
Ednahpen :
barikiwa
2025-03-03 19:50:00
1
rashidaabwoli
Rashida Abwoli Birungi :
Union vitunguu maji
2025-03-03 09:16:26
1
teddyshirima04
Teddyshirima :
shehe Salam Alaikum hii dawa ya kisukar karoti pori natafuna nameza maji au nameza na makapi yake
2025-03-01 12:03:11
1
user2081902763366
da tee :
kwani huo una kiazi au mizizi
2025-02-28 19:22:20
1
user9396121132690
ladyhoney :
sio nannaaa ni kotmiri, nanaa ni mint, cotmiri nincoriander
2025-03-01 08:16:00
1
nsangiharriet
nsangiharriet :
thanks 👍
2025-03-01 03:48:59
1
To see more videos from user @mr_othman_tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About