jaman maskin tulishwe nanani au ndio maskin atakula umaskin wake
2025-03-02 23:35:05
33
abiiajmii :
hakuna kitu apo ni ria tu walala hoi wamejaa
2025-03-03 14:53:54
4
Khadija Said :
Mskiti umeshajenga maridhia au unalisha watu tu tena kwa kuchagua viongozi mawaziri mayatima wapo wasojiweza wapo hapo
2025-03-03 12:17:38
4
Swaleh :
hapo mashallah akila aloalikwa hapo anajiweza lkn wakialikkwa maskini wanapikiwa pilau lao la jaza domo
2025-03-03 11:56:32
2
Mr business :
naamini anatengeaza brandi hajafanya makosa pengine anasaidia kwa upande wa pili
2025-03-07 13:55:58
1
binmasoud :
Mola ndo anajua nia ila swala la maskini linaonekana. so lengo hasa ni nn mbona wengi wanajipata apo😳
2025-03-17 15:33:42
1
BAALAWI TOUR ZANZIBAR :
Na Sisi wengine mgetualika kwenye maavyakula kama hayo mmgefanya la maana maana tunayaona tu kwenye sim 🤣🤣😂😂
2025-03-04 06:52:19
0
Abakrilly :
ingependeza mngewafwata walala hoi mkaftari pamoja mkiwafariji
2025-03-03 11:49:05
7
Mohamed~🇹🇿 :
tuwakumbuke na maskini wasiojiweza mashallah allah awabaarek awalipe khery badali InshaAllah ❤️🙏
2025-03-03 11:39:31
7
user9741140331021 :
mwenyezi mungu awajarie kwa wema wakuftalisha Ishallah, ila wangejaliwa Walah muamini tupo na mayatima nyumbani Leo tumeftali sembe halina Tunda wala nini mchuzi wamaji!! na ndio daku,alahmdulilah
2025-03-18 23:36:45
3
SecondBaby94 :
😳😳Mashaallah sisi hatuwezi kufutarisha hivyo
2025-03-16 12:18:12
2
Albedo Tz :
chakula hakina kheri hichi Wala musiwaonee chuki ao
hayo ni maneno ya mtume
2025-03-12 06:54:11
2
Sultan Platnumz :
jamani Msiseme mengi Kusaidia Masikini anasaidia bila Ya shaka Yyte Ila Mkumbuke umaridadi unaficha umasikini mkitafakar neno hili mtafaham nn maana yake Pia ya watu yatupite mtu akae kimya
2025-03-03 06:41:15
2
fizo don :
hao matajir watagusa gusa na kula kidg kdg tu sio vyakula vigeni kwao. ila kuna watoto wa kimaskin wanafutaria muhogo tu😭 subhanallah .
2025-03-12 14:07:51
2
fizo don :
sio vibaya kuftarisha.ila unafutarisha watu wanaojiweza na unawaacha wanaohitajia masikini na mafukara.
Allah anataka uwasaidie masikini na mafukara.
2025-03-12 14:05:14
1
Doug Heffernan :
mashallah tabarak llah
2025-03-12 19:31:39
1
EL AbdouL :
🥰🥰🥰
2025-03-05 08:54:57
1
nayfat amour hasssan :
tupo wanyonge kula kama hii twaytamani mungu akuzidiahie kuliko hiki
2025-03-05 15:30:58
1
Manface Fildoline :
next 👏👏
2025-03-04 12:46:37
1
mulyanadly :
jamn tukumbuke huyu ni kijana bado damu ya ujana inamchemka ☺️ama mambo meng anatk kufany y ujan
than huy sio sheikh
hamn sheikh atamuendesh mkewe nywele nje☺️.
2025-03-04 19:51:29
1
Saadie :
mashallah
2025-03-05 04:17:51
1
nayfat amour hasssan :
mashallah
2025-03-05 13:56:06
1
user9153080599722 :
mashallh Allah anifanyie weps katik maish yak pia ukumbuke wenzako coz sio wot sw wapo ambao hata chai inawashind kwa sukar hii ni kufru kwa mung
2025-03-17 09:39:40
1
Shizzi93 :
mganga afutarisha
2025-03-03 08:08:26
1
Van boy Nassir :
tutaviona kwenye cm tu
2025-03-21 17:10:35
1
💍Mrs Abdou🇰🇲💗🇹🇿🍯🕋📿 :
sijui kama mnajua mnacho kifanya ivi kuftulisha mtu anaejiweza na kupeleka ftali kwa watu wasiojiweza kipi bora na chenye malipo ,,hatuwapangii ila