@rubaiya_akter_nupur: Love this pookie😫🫶🫶 #nagin3 #behirmusic #nagin3backgroundmusic #foryou#tiktokviral

Rubaiya Akter Nupur(Shuhasini)
Rubaiya Akter Nupur(Shuhasini)
Open In TikTok:
Region: BD
Sunday 02 March 2025 21:37:28 GMT
61417
717
27
382

Music

Download

Comments

atabur.rahman532
Atabur Rahman :
2026-06-26 09:32:07
1
.rafa706
RAFA🌺 :
নাগিন নাটকের মধ্যে সবচেয়ে সুন্দর রিংটোন 🥺🥺🥺🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2026-04-20 15:04:29
6
munni.526
🧃_𝐘𝐨𝐮𝐫_ ღ 𝐌𝐚𝐲𝐚 _🕊 :
আমার ফোনের রিংটোন 🥰
2026-06-26 05:15:04
0
ariyanaru02
🌸🌼🌸মায়াবতী রাজকন্যা 🌸🌼🌸 :
nice
2025-03-03 15:23:13
1
jo.nal1
✌ൠ ⓙό𝐘Ňαl ✊♚ :
hmm amaro khub Valo lage😳
2026-06-21 10:17:43
0
mayaboti_000000
😇শ্যামবতী😇 :
Awwwwwwwwh 🙂
2026-03-30 14:19:26
1
mdsikder71
Md Sikder :
অসাধারণ
2025-03-03 03:50:38
0
otpol.das.otpol.d
❤️‍🌺 meso rani 🌺♥️ :
সাপোর্ট করলে সাপোর্ট পাবে
2025-03-03 04:08:52
0
smmijan59
মেঘলা আকাশ🥀🥀🥀 :
সাপোর্ট করেন সাপোর্ট পাবেন
2025-03-04 23:23:09
0
user8082583475261mohuya
🔪🎀পাগলী বুড়ি..🎀🔪 :
amr phn er ringtone eta🥰🥰🥰
2025-11-24 16:07:53
1
bithy.rani74
🌷.. Tithy.. 🌷🕊️ :
😃
2026-04-14 16:14:34
0
mahaim.raj
🥰 বাবার একমাত্র রাজকন্যা 🥰 :
🥰🥰🥰
2026-03-26 16:33:59
0
jihad362149
Rubaiyat Nabhan :
🥰🥰🥰
2026-03-23 06:45:59
0
mrmobark7500
NS,Nabil :
🥰🥰🥰
2025-12-06 05:42:12
0
user1446194345258
user1446194345258 :
🥰🥰🥰
2025-04-24 07:31:01
0
mashudrana8810
🍁Jim🍁 :
🥰🥰🥰
2026-06-04 10:51:09
0
ssbbdd777
Sabina777 :
🌺🌺🌺
2025-03-09 13:40:28
0
mitaislam913
Mita Islam :
🥰🥰🥰
2025-03-04 04:17:22
0
ns.daymon
Md Sujon :
😳😳😳😳😳
2025-03-04 01:18:41
0
alisha_120k
Alisha_ :
😳😳
2025-03-03 16:34:29
0
alisha_120k
Alisha_ :
🥰🥰
2025-03-03 16:34:27
0
mbbiplob.md.biplo
Mbbiplob Md Biplob Mbbiplob :
🥰🥰🥰
2025-03-03 04:17:53
0
rmu902
*র͢ম͢জা͢ন͢*প্রে̖ম̖*পা̖গ̖লা̖* :
😂😂😂
2025-03-02 22:28:11
0
sorifulislamshorif470
🫠Soriful.islam😎shorif🙈 :
ফলো করো @❤️♥️♥️❤️সাপোর্ট চাই ❤️: সাপোর্ট করো🥰🥰🥰সাপোর্ট কার কার লাগবে কমেন্ট করে যাও🥰
2025-03-11 11:01:22
0
To see more videos from user @rubaiya_akter_nupur, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Attahiyyaat ni dua muhimu sana tunayoirudia katika kila swala zetu za k ila siku. Nilipojua historia yake, moyo wangu uliguswa sana. Attahiyyaat kwa hakika ni sehemu ya mazungumzo yaliyotokea kati ya Muumba wetu Mwenyezi Mungu (SWT) na Mtume wetu mpenzi Muhammad (SAW) wakati wa safari yake ya Al-Isra Wal-Mi’raj. Wakati Mtume Muhammad (SAW) alipokutana na Mwenyezi Mungu (SWT), hakuanza kwa kusema “Assalaamu Alaikum”. Kwa nini? Kwa sababu hatuwezi kumpa Yeye salamu za amani, kwani chanzo cha amani yote kinatoka Kwake Yeye. Hivyo Mtume (SAW) alisema:
Attahiyyaat ni dua muhimu sana tunayoirudia katika kila swala zetu za k ila siku. Nilipojua historia yake, moyo wangu uliguswa sana. Attahiyyaat kwa hakika ni sehemu ya mazungumzo yaliyotokea kati ya Muumba wetu Mwenyezi Mungu (SWT) na Mtume wetu mpenzi Muhammad (SAW) wakati wa safari yake ya Al-Isra Wal-Mi’raj. Wakati Mtume Muhammad (SAW) alipokutana na Mwenyezi Mungu (SWT), hakuanza kwa kusema “Assalaamu Alaikum”. Kwa nini? Kwa sababu hatuwezi kumpa Yeye salamu za amani, kwani chanzo cha amani yote kinatoka Kwake Yeye. Hivyo Mtume (SAW) alisema: "Attahiyyaatu Lillahi Was-Salawaatu Wat-Tayyibaatu" (Heshima zote, sala zote, na ibada zote ni za Mwenyezi Mungu peke Yake.) Mwenyezi Mungu akajibu: "Assalaamu Alaika Ayyuhan-Nabiyyu Wa Rahmatullahi Wa Barakaatuhu" (Amani iwe juu yako, Ewe Nabii, na rehema za Mwenyezi Mungu na baraka Zake.) Kisha Mtume (SAW) akajibu: "Assalaamu Alayna Wa ‘Ala ‘Ibaadillaahis-Swaalihiin" (Amani iwe juu yetu na juu ya waja wema wote wa Mwenyezi Mungu.) Angalia jambo hili la kipekee: Mtume (SAW) katika jibu lake alitujumuisha “sisi” – yaani mimi na wewe – ili nasi pia tupate amani hii tukufu. Malaika waliposikia mazungumzo haya kati ya Mwenyezi Mungu na Mtume (SAW), wakasema: "Ash-hadu An Laa Ilaaha Illallah Wa Ash-hadu Anna Muhammadan ‘Abduhu Wa Rasuuluh" (Nashuhudia kuwa hapana anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Mwenyezi Mungu, na nashuhudia kuwa Muhammad ni mja Wake na Mtume Wake.) Subhanallah! Sasa nimeelewa historia na umuhimu wa maneno haya tunayoyasema katika kila swala, na namna swala ilivyotufaridhiwa. Naomba unifollow ili wengi wapate faida kwaajili ya Allah

About