Wew ukimpemda usimpende ALLAH atampa kila la khairi mana anagombania MASLAHI ya Nchi hii anazungumzia haki sio Amani bila haki haiwezi kuwepo ...
2025-03-04 19:02:15
1
Abdul-latif :
Huyojamaa hajuy anachoongea anasema wapemba nazanzibar kwanza hajuykuomba
2025-03-04 22:23:22
0
Abduli Juma🇹🇿+🇳🇱 :
Huyu mzee kwani anasema nn
2025-03-04 22:13:23
0
Ommy Kozo :
hakika kiongozi wetu umeongea ukweli
2025-03-04 22:01:01
0
didah :
Ameen yarabb
2025-03-04 20:57:24
0
slum :
Boss OMO upon Sawa na kauli zako. Nina matumaini nawe Makamo wa Kwanza wa Rais ikuluu 2025. Boss OMO safiii
2025-03-04 20:57:04
0
user3851232923045 :
sio kweli sayyidina Umar ..uthaani..Aly wote wamefsnyiwa vurugu mwisho wakauliwa na walikua warenda haki kuliko mtu yyte baada ya mtu nyie mnalo mlokusudia tu na mungu hayuko pamoja na nyie
2025-03-04 19:15:31
0
user6673901322931 :
unaombwa sana mzee watu wamechoka vurugu ujitathmini
2025-03-04 17:55:45
0
user6673901322931 :
mtu mzima ovyo watu wamechoka vurugu ndio unaambiwa fujo tumechoka
2025-03-04 17:54:20
0
user7916052005224 :
axnt brooo
2025-03-04 19:31:33
1
To see more videos from user @jifunzenamaalim, please go to the Tikwm
homepage.