@afyanairene_81: Mix cloves, garlic, honey small amount of hot water and you will thank me Changanya vitunguu swaumu, asali, karafuu tia maji moto kdg au chemsha kdg Baada ya hapo Tafuna vitunguu swaumu viwili na kunywa maji uliyochemsha mchanganyiko Huo glass Moja. Hii inaitwa nuclear weapons in bed Angalizo tuu🤸🤸🤸🤸🤸 👉Watoto wadogo msifanye hivi 👉Mwanamke kama hujampima afya yake usitumie hii kitu maana misuguano itakua mikubwa kutawaka moto🔥🔥🔥 👉Vitoto vya 2000 usivinywee hii kitu 👉Mshangazi kabla haujaunywea hii dawa ulete kwangu niupime pumu, presha pia niangalie kama ana mshono ndio nikuruhusu vinginevyo utapata kesi 👉Usitumie hii harafu ukaenda kukutana na mjamzito ndugu yangu kuwa makini 👉Usitumie hii dawa kama hauna uhakika WA sebene tusije tukalaumiana baadae Nimeiandaa hii maana baadae naenda kumsalimia mjukuu wangu kule Isevya nitawapa mrejesho😀😀😀😀😀 utani tuu NB hii ni Kwa wakubwa tuu na usiitumie home.