@jwtz_tpdf1: MWANAJESHI HAPEWI MASHAHARA 📌🇹🇿 #JESHI #jeshi #tik #tanzaniatiktok #viral_video #hype #HYP #tik #tanzaniatiktok #trendingvideo #viral_video #hyp

JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA
JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 08 March 2025 12:54:11 GMT
145072
6711
150
210

Music

Download

Comments

manface.fildoline
Manface Fildoline :
next 🙏🙏🙏🙏
2025-03-10 13:35:57
0
richie.joseph04
Officially joseee :
Eee tunaijuwaa hy🔥🔥🔥
2025-03-09 06:23:00
0
dee..khadijah
🦋dee🩵 :
Ila mimi hzo nguo alizovaa Kanali sijui wangeruhusu mtu yyt kuvaa ningenunua nazipenda 😂😂🙌
2025-03-09 12:34:46
31
lee.fernando2
Lee Fernando :
Hiyo ni lugha kwa muktadha husika lakini jeshini ni ajira na wanalipwa kulingana na viwango vya ajira na utumishi wa Umma
2025-03-10 07:59:15
7
luckyone043
SOMEBODY07 :
askari wote hakuna mshahara sio mwanajeshi tuu
2025-03-08 15:34:23
10
user54766557252092
gilai 🌹 :
jeshini hatuna mshahara tuna posho
2025-03-08 21:54:48
16
richard_hutson123
RICHARD HUTSON :
yes Afande...kazi yetu ni kojitolea kwa nchi
2025-03-09 06:23:11
9
kisasijeuri
Geoffrey kim2 :
au kwa lugha nyingine jeshini tunagawa hela, fweza money ,vibunda 😂🤣😂🤣😂
2025-03-09 09:34:58
7
user868419932495
Dawashi kimambo :
Skilizeni vizuri kwa makini na muelewe sio kuskiliza,tu hao ndo wana TPDF jesh imara
2025-03-09 06:08:01
7
beckerclass
chitoto suond :
malipo sindio mshaara
2025-03-08 15:33:34
1
makondonyo
makondonyo :
wanalipwa wewe hakuna hyo ongea unwell wewe nanga Acha kudanyanya wap
2025-03-10 16:48:41
1
user6874583397915
mchopanga :
iv wanatuona kama mataka yao🤣☺️🤣🤣🤣
2025-03-10 22:57:01
0
christianity......uislam
MUNGU MWENYEWE :
KWAIYO HAMLIPWI AU 😂
2025-03-10 08:49:06
0
manswetajosephpaul
Mansweta Joseph paul :
safi kanali wangu ..Mungu awatenge na mabaya .
2025-03-12 04:00:01
3
user3814683677040
james chorwa :
mwananesh anaapa kwa kiapo cha kujitolea kwa lolote ndo maana halipwi mshahala maana amejitoa mhanga mda wowote anakufa
2025-03-09 04:19:37
3
kida7005
kida :
posho mlima
2025-03-09 05:55:58
2
dominickmange
dominickmange :
Jeshini hakuna mshahara kuna malipo Jeshini hakuna kuajiriwa kuna kuandikishwa..🤣🤣 wasingecheka angeongeza kusema jeshi lipo juu ya sheria..
2025-03-08 19:06:50
2
hancemullah26
Hance Mullah :
Mwamba anakila sifa ya kuwa msemaji wa JWTZ anaongea uhalisia with fact
2025-03-10 18:05:10
1
vibe.scott
Vibe Scott :
kila kijana wa tanzania ni mwana jeshi ata mm nipo tayali kwa vita na adui ata bila malipo kikubwa bunduki nasonga mbele kutetea taifa langu
2025-03-10 17:33:09
1
hemedikhamisi4
hemedikhamisi4 :
niposho sabb uwezi lipa uai wa mtu
2025-03-10 11:07:25
1
user7213771723617
tafuta ahamadi :
Kanali huyo apewe maua yke
2025-03-09 08:50:07
1
user8148501050475
Hucker :
huyu si ndiyo yule aliye sema JWTZ ni 6 kwa ubora wa majeshi duniani..?🤣 leo unatudanganya tu..iyo ni ajira na hela wanayo pata ni mshahara
2025-03-13 15:54:46
0
lildrick5
drick :
wanajifanya ILA HAWA NDO WATU WAMEUZA MIILI YAO KWENYE SERIKALI😂😂😂. TESEKENI UKO MANINA
2025-03-13 06:37:34
0
user7910144179709
omary Lobo :
sasa ww edo unacheka nn
2025-03-12 12:56:00
0
user1011356022411
ren47j :
naomba unisaidie niwe kama ww mkuu
2025-03-11 20:52:54
0
To see more videos from user @jwtz_tpdf1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About