@drdada.afya: 1. Karanga (na nuts nyingine kama korosho, almonds, etc) zina protein na healthy fats nyingi ambazo husaidia uzito kuongezeka kwa mtoto. Unaweza kusaga/kuchanganya peanut butter kwenye vyakula vya mtoto. 2. Maziwa ya mama na maziwa ya kopo (infant formula). Baada ya miezi 6 ya kwanza maziwa ya mama peke yake hayatoshi kuongeza vizuri uzito wa mtoto, ila kuendelea kumnyonyesha mtoto husaidia uzito na kuongeza kinga ya mtoto. 3. Full fat plain yoghurt (mtindi) ina lots of healthy fats, probiotics, n.k ambavyo husaidia mtoto kuongeza uzito na kuongeza afya ya mtoto kwa ujumla. Unaweza kumnywesha, kuchanganya kwenye chakula cha mtoto, au ukatumia kutengenezea smoothies ambazo zinakuwa kama snacks katikati ya milo ya mtoto. 4. Parachichi ni mojawapo ya vyakula vizuri sana kwenye kusaidia uzito kuongezeka. Unaweza ukaponda ukamlisha mtoto, ukatengenezea smoothie, ukachanganyia kwenye chakula cha mtoto, n.k. 5. Ndizi za kuiva zina a lot of calories na wanga ambavyo husaidia mtoto kuongezeka uzito. 6. Viazi vitamu navyo ni source nzuri ya calories na carbohydrates. Unaweza kumlisha viazi mviringo pia, ila viazi vitamu ni bora zaidi. 7. Mayai ni source nzuri sana ya protein and healthy fats, na ni rahisi kuandaa. Unaweza ukachemsha yai ukaliponda na kumlisha, best ukaliponda na kuchanganya na parachichi. Au unaweza ukasaga yai la kuchemsha, parachichi na wali uliopikwa, etc. Options are endless. 8. Nyama nayo ni source nzuri ya potein na madini chuma. Hakikisha mtoto wako anakula nyama (sio mchuzi) angalau mara 3 kwa wiki. Kama bado hawezi kuitafuna basi msagie. 9. Oatmeal nayo husaidia uzito kuongezeka, zina calories nyingi na ni rahisi kumeng’enywa na tumbo la mtoto. 10. Mafuta (healthy oils) kama avocado, olive and cold pressed coconut oil (ambayo hajatengenezwa kwa kuchemshwa). Unaweza kutumia mafuta haya kupikia chakula cha mtoto kusaidia uzito kuongezeka. As long as mtoto anakula a balanced diet tunategemea ataongezeka uzito vizuri tu. #lishe #babyfood #watoto #daktrariwawatoto #afya

Dr Joyce
Dr Joyce
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 12 March 2025 09:52:19 GMT
612976
5094
161
1067

Music

Download

Comments

user7076337123153
nec :
mwanangu hata nimpe nn haongezeki uzito
2025-03-13 03:49:00
6
hadijahassan633
Hadija Hassan :
shukran dr
2025-04-17 17:13:37
1
chrustinemuthio
ma brigtiii :
mtoto wangu hapendi Kula kabisa na akona mwaka na miezi minne
2025-03-13 00:59:57
0
2024azlan
mom azlan :
dokta samahn mwanng aanaend miez sab lkn kil nikimpelek klinik aongezek uzito xhida inawez kuw nn
2025-06-15 22:50:15
0
emanuelakimario1
emanuelakimario :
na mimi mwanangu hapendi kula ana miezi9 nifantaje
2025-03-12 20:13:03
3
officialummu443
official ummu❤️ :
🥰🥰thanks alot umenipaa usaidizi mkubwa kwa mtto wngu aongezeke mwili🤝
2025-03-14 06:33:27
3
user1528715861814
didah :
mwanangu anatatizo awezi kula chakula bila kukibrend nivizuri
2025-03-16 11:27:19
1
neyleealvin
Neylee Alvin :
wangu haongezek miez 11 kachangmka vzr anatembea na vtu lkn ana 9kg
2025-03-14 06:10:12
1
user1210846343288
user1210846343288 :
jmn mi mtot wngu ana mwaka 1 akila chakula chochote anatapika na ana kilo 7 na hata nikimnyonyesha pia anatapka jmn nifanye
2025-03-19 19:10:17
0
didah.banks
Queenie dior26 :
Wangu ako na 10 months na akuli anataste chakula na kutema nifanye aje
2025-03-15 02:20:49
0
jadekiss44
jadekiss😘 :
Vyakula hivyo ni sahihi kuanza kumapa mtoto w an miez 5
2025-04-11 11:10:32
0
lilianmnyoro
Lilian Mnyoro :
je navya kumjenga ubongo wake ni vip i wish kawe na high iq
2025-03-13 21:24:10
1
user8520999966327
user8520999966327 :
mtoto wangu anatatizo lakutokula chakula chaaina yyte nfanyeje
2025-03-12 19:11:14
2
rehemamchory
Rehema Mchory :
dactari samahani ni vyakula gani mjamzito hatakiwi kutumia kwaajili ya afya ya mtoto??
2025-05-20 12:43:31
0
hadija141
hadija141 :
mtoto anatakiwa kula mayai mara ngapi kwa week .....
2025-06-10 19:15:02
0
lidyaassey4
Lidya Assey :
sawa dr aante kw ushauri
2025-04-18 22:50:55
1
mafarhan631
Ma Farhan :
tuambie basi
2025-03-14 16:54:37
0
user7076337123153
nec :
alizaliwa na kilo4 na nusu saiv ana mwaka ana miez7
2025-04-09 05:19:55
0
bahatilucas0
bahatilucas410 :
jamani mwanagu anakataa kula chakula chochote kile naomba ushauri jaman😭😭😭 anamiez8
2025-04-02 06:02:52
1
innocentkilonzo46
dadyAika :
napenda san kula mayai lakn huwa yananiletea shidaa
2025-03-16 11:32:44
1
user7076337123153
nec :
ana miez10 sasa
2025-03-13 16:46:09
1
aggy.tz2
aggy tz :
mwanangu hali kitu zaiid ya chai na mkate tu
2025-06-30 16:03:15
0
halimatale311
Halima Tale311 :
samahani vyakula vya kuongeza kilo na vyakula vya kukaza misuli ni vipi
2026-06-22 10:28:51
0
user9261972802092
user9261972802092 :
juzi nimepea mtoto wangu OVACADO aka fura mwili na kujikuna ako 6mnths shida n nn?
2025-06-09 18:06:56
0
lilian.bosco5
Lilian Bosco :
dada tunaomb msaada
2025-04-07 11:04:00
0
To see more videos from user @drdada.afya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About