@kuku_chapchap: Kwa mahitaji ya vifaranga bora wa Kuku wa Mayai (Layers) na Kuku Chotara (Kuroiler) Kuku wa Nyama (Broiler) usisite kututafuta kwani kwetu hutopata vifaranga tu, tutakupa na elimu bure namna ya kufuga kibiashara. Tunatoa huduma ya ujenzi wa mabanda ya kuku, ushauri, elimu ni namna gani unaweza kufuga kuku kibiashara bila kusahau usimamizi wa miradi ya kuku mikubwa na midogo. Tunakufikia popote Dar es salaaam, mikoani kote na nje ya nchi. 📍Tunapatikana Dar es salaam, Tegeta Bagamoyo Road. Call/SMS/WhatsApp: +255 719 882 004 #fugakuku #fugakukukisasa #fuganakukuchapchap #kukuchapchap #kukuchapchaptips #kukuchapchapnowyouknow #kukuchapchaptips