@engineergx: #High quality ricemill machine ✍🏼kg 500_600 per hour ✍🏼inatoa mchele super usio katika yaan ina grade ✍🏼mpunga unaopita kwenye mashine hii ukitoka hapo ni kuosha na kuweka jikon haina haja wa kuuchambua kwa maana ulishachambuliwa na mashine kabisaaa ✍🏼mashine inakoboa kama imechanganyikiwa 😂😂 karibu mteja wetu upate bidhaa bora