@kenyan_observer: Shams al-Ma'arif ni kitabu cha karne ya 13 kuhusu uchawi wa Kiarabu, kilichoandikwa na Ahmad al-Buni. Kinachukuliwa kuwa mojawapo ya vitabu mashuhuri na vyenye utata katika ulimwengu. Kitabu hiki kinajumuisha mada mbalimbali kama vile falaki, numerolojia, hirizi, na jinsi ya kuwasiliana na majini na roho. Ingawa kinasifiwa na wengine kwa maarifa yake ya kina kuhusu mambo ya kiroho na uchawi, wengine wanakiona kama kitabu hatari na cha uzushi. Shams al-Ma'arif kimepata umaarufu katika karne ya 20 na 21, na hata kimeathiri baadhi ya mashirika yenye msimamo mkali. Licha ya utata wake, bado kinasomwa na kujifunzwa na watu mbalimbali hadi leo. #trendingvideo #foryoupage #fyp #kenyantiktok🇰🇪 #tanzania🇹🇿 #tanzaniatiktok #ghoststories #ghosts

Observer 🥈🇵🇸 🇰🇪
Observer 🥈🇵🇸 🇰🇪
Open In TikTok:
Region: KE
Monday 07 April 2025 08:15:26 GMT
307458
16600
952
1701

Music

Download

Comments

himgolden
Himgolden :
Shamsu l maarif 😎Mbona tumesom madrasa n nothing happened
2025-04-07 12:27:14
81
.black_eagle73
🦅🦅🇹🇿 BLACK_EAGLE🇷🇺 :
Hapana kaka kuna kubwa lao Kitabu cha IMAM AL GHAZAL AL KUBRA KUN FAYA KUN
2025-04-07 13:31:21
74
musrhymz
Mussa🇹🇿🇺🇲 :
kaka bola hata usingesema maana haya majini sisi ndo tunayapenda ngoja ni download nipate dem jini nipate pesa.
2025-04-07 15:54:59
126
hanin6003
hanin :
qurani ndio kiboko ya hito kitabu
2025-04-07 11:04:08
62
babuu623
Babuu623 :
ni kulize wewe umekijuaje
2025-04-07 13:28:24
7
zay.fashion
Zay Fashion :
KITABU KIBOKO YA VYOTE NI QUR AN PEKEE♥️🥰👌
2025-05-22 13:05:10
17
muhammadaliridha99
Mo28§29§ :
sasa kama ushajua hayo unatuonesha nn??watu hata hawaijui ww unawa sananua na wabongo wanavo penda uchawii wapotezee utapata zambi✌️👊
2025-04-08 17:50:27
6
mekufx
jafari salum :
kama kuna mwenye kukihitaji kilicho tafsiliwa kwa kiswahili njoo inbox nauza
2025-04-13 21:18:14
0
smart.boy1715
SMART BOY :
mbona kama unakitangaza ???😂
2025-04-08 13:33:04
12
user22654920015937
الحبيب سيف محمد البوجيري :
ukikosa ilmu NI sumu kubwa
2025-04-07 10:03:31
2
softlive.nick12
Iamnick :
haha imeandikwa Ni muislamu
2025-04-19 07:33:00
0
thestyylish
shayzat_wedding mall :
al KUWAIT BIN AZIN HAMUIJUI NYIEE NI NOMA UNAWEZA PAA MCHANA😀😀
2025-04-07 17:54:19
6
jumaah248
AFRICANSHEIKH 👳‍♂️ :
WEWE Bhana Usitutishe Sie Tunacho Kikubwa na Kidogo Chake vyote Tuanvyo na Tunatumia kama kawaida vipo bikali kulko hich #Sihrul Haaruta wamahtutah +5
2025-04-13 22:28:52
1
salimkilolo
michu tz :
sasa kingekuwa hakiluhusiwi kusoma kisingeandikwa 🤣 ngoja nikitafute nione
2025-04-07 11:54:21
7
baimtumbatu
Abuu Abdulghaffaar Bai :
uchawi mtupu huo wa icho kitabu
2025-04-07 12:00:07
9
dieuaimenyamushi
DIEU AIME NYAMUSHI BENED :
kama unaamini biblia ina nguvu za mungu gonga like
2025-04-09 03:32:13
8
3m2751
3M :
Mimi nilisomeshwa kweli nikitabu kikubwa ktk fani ya riyadha wito wa majini. hata mfalme mkuu wa kijini sayyid maitwatwaroun ukimtaka anakuja.
2025-04-07 11:35:24
5
askul_650
Che Guevara :
hakuna original tena vilifichwa kabisa vitabu viwili
2025-04-07 11:45:49
5
bekaboy346
Beka boy :
ustadh we Sasa una advertise kwa ulimwengu ili iweje
2025-04-07 13:24:21
10
w.alsharji0
w.alsharjih :
Kwanza nakipata wapi
2025-04-09 11:32:18
2
ahmadikininga178
Ahmadi Kininga :
Tuwe wakweli, nimeisha kisoma tangu mwanzo wake mpaka mwisho wake, sikupata kuona jini wala mtoto wa jini. Huyo msaudia wako atakuwa alikutwa na ugonj
2025-04-08 07:35:31
2
user19825266032310
son of God :
these are islamic things
2025-06-02 10:56:08
0
barkis_77
Golden saw :
mm ninacho lkn sijawahi kukifunguwa mbona unanitisha ss nitakirembea baharini sitaki tabu
2025-04-12 17:03:36
3
alhudhaifa_juma
ALHUDHAIFA :
muongo ww hatar icho kitab mi nnacho na mbn hakizungumzii uchawi Wala c kitabu Cha uchawi km unavodai
2025-04-07 11:16:15
3
kemmy19946
Kamaria Amour :
Sasa hio sauti za kutisha tisha ndio unatutishaau?
2025-04-08 22:43:49
2
To see more videos from user @kenyan_observer, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About