@emma.donovanx: 📍Lake como

Emma Donovan🤍🪩🎀
Emma Donovan🤍🪩🎀
Open In TikTok:
Region: ES
Tuesday 08 April 2025 09:37:21 GMT
1859
193
3
9

Music

Download

Comments

robyn.donovan26
Robyn Donovan👸🏼🖤 :
i love this😭
2025-04-08 20:55:43
1
robyn.donovan26
Robyn Donovan👸🏼🖤 :
this is so cute
2025-04-08 20:55:29
1
To see more videos from user @emma.donovanx, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Najua kwa hali hii siwezi tena kupona Afande, najua nitawachosha vitani, najua mtaumia sana bila mimi kwakuwa tuliingia wote Jeshini. Nimezikumbuka zile stori zetu za utani nyakati za furaha enzi zile Kuruta tu! Nimezikumbuka zile W3, naomba nikutajie tena Rafiki yangu. Unakumbuka kuhusu Women? Tukasema tuishi tu kwakuwa kesho yetu hatuijui, tukasema tule raha kwenye maua mazuri ya Mungu. Unakumbuka kuhusu Wine? Nakumbuka nilikwambia tule bia kwakuwa peponi hakuna bia, tunywe tuondoe stress, maisha yetu ndio haya. Unakumbuka nilikwambia kitu kuhusu War? Ndio hii vita Ndugu yangu tupo hapa tunapambana ijapo mimi nipo taaban, vita hii tunapambana ila Ndugu yako tayari siko salama. Nikuombe kitu, nenda usimame, chukua silaha yako mimi nisogeze tu pale pembeni, nitalala kuwasubiri kama mtarudi na ushindi au mwili wangu uwe chakula cha Tai na Fisi. Lakini najua lazima mshinde, kama mtashinda basi uje hapa Rafiki yangu, nataka mwili wangu ufunikwe bendera ya Taifa langu, napenda sana kuona hivyo. Kama nifika msinizike hapa, chukueni mwili wangu upelekeni nyumbani, pale nyumbani walipo wazazi wangu, haijalishi wataona nini wakiufunua mwili wangu. Wakiuliza kuhusu makovu waambie walinizaa kwa ajili ya taifa langu, Mtoto wao nilikufa nikipambania taifa langu, wakiuliza kuhusu majeraha waambie uhai wangu lazima utolewe kwa nguvu mimi ni Mwanajeshi. Nilikwambia nikifa nipeleke nyumbani walipo wazazi wangu, hiki kidani mpe Mwanangu, hii kacha mpe Mke wangu na Mama akilia sana mwambie Mwanajeshi mwanao alikufa huku akitabasamu. Nikifa, usinizike hapa, peleka mwili wangu kwa Wazazi wangu A kidogo
Najua kwa hali hii siwezi tena kupona Afande, najua nitawachosha vitani, najua mtaumia sana bila mimi kwakuwa tuliingia wote Jeshini. Nimezikumbuka zile stori zetu za utani nyakati za furaha enzi zile Kuruta tu! Nimezikumbuka zile W3, naomba nikutajie tena Rafiki yangu. Unakumbuka kuhusu Women? Tukasema tuishi tu kwakuwa kesho yetu hatuijui, tukasema tule raha kwenye maua mazuri ya Mungu. Unakumbuka kuhusu Wine? Nakumbuka nilikwambia tule bia kwakuwa peponi hakuna bia, tunywe tuondoe stress, maisha yetu ndio haya. Unakumbuka nilikwambia kitu kuhusu War? Ndio hii vita Ndugu yangu tupo hapa tunapambana ijapo mimi nipo taaban, vita hii tunapambana ila Ndugu yako tayari siko salama. Nikuombe kitu, nenda usimame, chukua silaha yako mimi nisogeze tu pale pembeni, nitalala kuwasubiri kama mtarudi na ushindi au mwili wangu uwe chakula cha Tai na Fisi. Lakini najua lazima mshinde, kama mtashinda basi uje hapa Rafiki yangu, nataka mwili wangu ufunikwe bendera ya Taifa langu, napenda sana kuona hivyo. Kama nifika msinizike hapa, chukueni mwili wangu upelekeni nyumbani, pale nyumbani walipo wazazi wangu, haijalishi wataona nini wakiufunua mwili wangu. Wakiuliza kuhusu makovu waambie walinizaa kwa ajili ya taifa langu, Mtoto wao nilikufa nikipambania taifa langu, wakiuliza kuhusu majeraha waambie uhai wangu lazima utolewe kwa nguvu mimi ni Mwanajeshi. Nilikwambia nikifa nipeleke nyumbani walipo wazazi wangu, hiki kidani mpe Mwanangu, hii kacha mpe Mke wangu na Mama akilia sana mwambie Mwanajeshi mwanao alikufa huku akitabasamu. Nikifa, usinizike hapa, peleka mwili wangu kwa Wazazi wangu A kidogo

About