@insideoutz__: HANA UWEZO KUJILIPIA KWENDA USA🇺🇸 MWENYEWE? BABALEVO anasema mpiga picha wa zamani wa Diamond Platinumz LUKAMBA hana uwezo wa kujilipia mwenyewe kwenda mtoni ( USA) Babalevo anasema Lukamba inapaswa ajifunze kupitia kwa mpiga picha wa mwanzo kabla yake KIFESI alishuka thamani mara baada ya kuchana na Diamond Ni kweli wanaoachana na Diamond wanapoteza trends kwenye shughuli zao!? via @rickmediatz #babalevo #lukambaofficial #diamondplatnumz #wcb4life #tiktoktanzania #insideoutz
wengi mtaona baba levo anaongea pumba ila huo ndio ukweli 🤣🤣🤣
2025-04-19 00:49:27
10
Kelvin Johnson :
aende na nani😅😅😅😅lukamba kapotea
2025-04-17 10:32:05
6
Jay jay :
lukamba ka sema mshahara ulikua wa kunyanyasa , exposure hailipi Kodi
2025-04-18 12:39:01
3
My love😍A❤️L🫂 :
Kwenda wewe unaetumwa kuuza unga uchawaa ni kujificha tu
2025-07-09 13:19:10
2
agu mwadime 199 :
halafu kweli
2025-04-17 04:47:49
3
dream catcher driver :
Marekani sio mbinguni mkuu sisi ndugu zake tunaishi hapa sio big deal babu.
2025-04-18 23:49:15
2
Santa wa mamy :
samahani muandishi siyo lukumba ni lukamba
2025-04-30 20:40:20
1
MR.X :
Hii ni picha ya mtu mchawi...Anaonyesha kafanya kazi kubwa kuwapeperusha aliowakuta na Diamond ili abaki yy na watu wapya..Umeona wapi mwanaume yupo tayari kumzalia mwanaume mwenzake?Zuchu kz anayo