@tiba.ya.reflux.ac: Replying to @Aishaibrakera #VoiceEffects Kwa nini bado hujapona, hata baada ya kuacha vyakula vyote?” “Umeacha pilipili, soda, kahawa… lakini kiungulia au maumivu bado yapo? Sababu sio chakula tu!” “Matatizo kama H. pylori na acid reflux si suala la chakula pekee. • Inawezekana bado kuna bakteria hai (H. pylori sugu). • Valve ya tumbo (LES) inaweza kuwa dhaifu. • Stress nyingi au kutofanya tiba kamili ya dawa inaweza kuchelewesha kupona. • Baadhi ya magonjwa kama gastritis sugu hupona taratibu hata baada ya kuanza matibabu.” “Usikate tamaa! Endelea na matibabu, tafuta ushauri sahihi wa daktari na fuatilia kwa elimu zaidi hapa. Follow kwa mbinu bora za kupona haraka!”#AfyaYakoKwanza #AcidReflux #acidrefluxremedy #foryou #foryou #foryou #fyp #gerd #fyp #heartburn #heartburn #wellness #VidondaVyaTumbo

TIBA YA REFLUX ACID
TIBA YA REFLUX ACID
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 28 April 2025 21:54:09 GMT
6395
81
12
15

Music

Download

Comments

syrah.tz
Sabitina❤️ :
Kama imelegea dawa ipo
2025-06-03 17:55:57
1
user7976834926910
mariam :
unanisaidiaje mm Nina acid sugu nanipo Oman inanisumbua sana nipe msaada
2025-09-11 16:31:11
0
kasimu.mzee1
kasimu mzee :
ivi tukapime kitugani ili tuweze kugundua kama tunatatizo ili la acd
2025-05-01 09:42:54
0
passionedwad
passion Edward :
mm natatizo lakujaa ges nakukosa choo
2025-04-30 10:51:11
0
nancykhavele3
mtoto wa mom :
ni utapimwa ujue uko na h pylori niambie plz
2025-04-29 11:10:25
1
To see more videos from user @tiba.ya.reflux.ac, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About