je ukiota unkimbizwa na nyoka lkn nyoka huyo akushiki inamaansha nn
2025-05-02 08:15:06
7
Nasri mom ❤️ :
shekh m naota San naingiliwa kimwil na aliyekupa mchumba wangu japo tulishaachana hii inatoka na nini
2025-05-03 10:04:43
0
kamamaa :
Mm juzi nliota naua nyoka lkn ikifika time anataka kufa anarudi tena na amerefuka nkimgonga hafi mpaka nikamuacha akienda mm nkatoroka
2025-05-02 18:58:29
0
swabz classic collection :
Mm nauliza jee ukiota unaanguka Kisha ushtuke usingizini inamanisha nn
2025-05-02 22:52:08
0
mwanaamasanja :
mi naota sana naumwa na mmbwa mara kwa mara ndoto iyo inajirudia naomba nisaidie nijue
2025-05-04 20:16:21
0
ام ادرس :
nikiota nimeenda kuwachokoza nyoka wakiwa wamelala kwenye mashimo ya chumba changu.
2025-05-03 10:02:01
0
bi mkubwa :
daaa alhamdulillah nakushukuru maana nilkuwanatafuta ufumbuzi wa ndoto yangu military kapita nyoka kwangu kuniona mm kakimbia baada yadakika akaja nyoka mkubwa kakomaa balaaa nikampiga mpk kafa kasagikasagika allah karim hapo vp shekhe token cku hyoo sijaota tena
2025-07-25 10:10:05
1
karimmabruck :
Unapo ota nyoka anakumeza ukabaki nusu asimalizie ina maan gani?
2025-06-14 13:20:48
0
kipaji :
mi nilota napeperuswa juu lakini chini kuna watu wanàifatilia na watu hawo nawajuwa hiyo ni nini.alafu niliota nilichukuliwa kitu kwa mkono ,kitu hicho kilikuwa cha ng'arangera kama dhaabu mkono wangu wa kulia,afu watu baharini wanawaka moto kwa makalio ni nini
2025-05-30 16:33:31
0
Benard :
Sheik mm pia naomba usaidizi yako nipate kufahamu. , mara nyingi sana ninaotanga kwetu sana nikifanya shuli nilikua nikifanya wakati nilipokua kijana nikiwa kijijini, lakini sasa niko mjini
2025-05-03 17:09:43
0
shush :
niliota ňyoka kaniuma kidole kidogo cha mwisho hadi kikafa ganzi kuamka kidole kina ganzi kweli 🥲
2025-05-29 14:23:20
0
Taty🎀💜 :
Shekhe mimi naotaga sana namuona nyoka mw usi na kuna wakati mwingine naota vinyoka vingi na vyeusi iyo ndoto inamaana gani
2025-06-10 10:12:11
0
ayu ayu :
shehe naomba namba yako ya what up
2025-06-12 18:28:47
0
Rujaina :
kaka mm naona mara kwa mara napigana na nyok wa kijani na mweusi lakin hao nyoka kuna mmoja ananisaidia alafu mda mwign wanabadilika kwa sura ya mtu ninae mjua naomba unitafusirie kwa ufasaha shida nn
2025-06-26 15:24:34
0
nemshami.mbegu.nemsha :
shekhe mm naota na nyoka mwenye vichwa vingi ananikimbiza😢
2025-06-27 06:17:14
0
Shani self :
shekhe naomba numb tafadhar
2025-05-07 08:53:19
0
user1145822469102 :
nitumiye namba yako ndugu yangu tafathali
2025-05-11 03:15:15
0
bi mkubwa :
asantee umenitua mzigo mkubwa ambao nilkuwa nauwaza lini nitautua ktk nafc yangu
2025-07-25 12:00:23
0
Bitebo spear Parts :
Mtu ameota yupo na ndugu yake nyoka Akawa anafata gafra ndugu yake akamwambiaa nyoka uyoo Ina maana gani
2025-06-09 17:53:33
0
ley cuty :
shekhe mm naota nimeolewa na nikiwa nampenz wangu cpati hisia nae
2025-06-05 09:15:46
0
Khadija Mauridi :
Ndoto za nyoka ndio ndoto zangu 😢😢
2025-05-09 15:10:09
2
Binti Keya :
mi nikiota nyoka uwa nampiga mno adi namuua ila aipiti siku nitasi