uislam ni njia sahihi kabsaa..hayo yote ni kweli kabsaaa na nimeshuhudia maajabu hayo ya maji mvua na watu wamepona maradhi makubwa km Figo na sukari
2025-05-06 09:40:27
7
Jay le fils 🕋🕌 :
shukran Sheikh baba yangu ni mugonjwa nita fanya ivo insha allah
2025-06-14 08:30:52
7
Chidy :
mungu atende maajabu kupitia sura hizi inshallah amin🙏🙏
2025-05-05 18:43:24
9
ummuhinna :
Kuna watu wafanya lakin ana mushkil haito kua mpk uamini ndio utapata shifaa
2025-05-06 11:33:40
5
Activist ✊Ny@rOnagi👼 :
wakristo tutasoma gani jamani?
2025-05-05 13:29:41
7
Fatma hussein :
muhudhataini sura gani jaman☹️
2025-05-07 21:08:38
5
Uber rajey :
muhadhatyn ni gani
2025-05-04 17:58:09
15
Alwattan 20 :
Zinaitwa "Al-Mu'awwidhatayn" (المعوذتين), maana yake ni sura mbili za kutaka kinga. Hizi ni dua za kujikinga, na Mtume Muhammad (SAW) alikuwa akizitumia sana, hasa kabla ya kulala na wakati wa kuugua
2025-05-04 22:19:26
44
raniyaabass :
muaditatein ni sur gani?
2025-05-07 16:57:44
5
hamady751 :
sheikh muawizataini ninini
2025-05-04 18:14:59
9
chimummy♥️🇰🇪 :
suratul fathiha is very powerful Masha Allah
2025-05-05 20:46:13
6
To see more videos from user @mr_othman_tz, please go to the Tikwm
homepage.