Rabbi zidni ilman wa ruzuqni fahma wa Yassirli fiy Rizqiy Ya baswit 40x
2025-09-29 11:43:55
13
MCHUMA :
@Al Reyna 🌹:Rabii zidni ilma ,warzukni fahma, wayasirli fii rizki, yaa baswit 40 times (kwenye sijda ya mwisha )
2025-05-08 07:45:05
7
shimafuad0 :
Nina kawaida ya kusali dhuha alhamdulillah basi kuna, siku nilienda scheme ikafika muda kama kawaida niomba kusali basi nilipomaliza walinishangaa Sana kwa nini nimesali muda Bado ndio kwanza saa nne tena wako serious. inability nipate muda kuwaelimisha kuhusu seals ya dhuha. wanawasema hawajawahi hata kusikia imebidi niwashangae Sana Sana.
2025-07-12 12:43:34
4
Amisa binti Rashidi :
shukrani mwalimuwa gu
2025-07-03 18:44:30
2
Omar Suleiman :
swaali wewe Uwe tajiri au wewe utaki utajiri.
2025-05-08 12:48:49
5
user4497707420116comfused jazh :
unaswali vp kama swala hizi za kawaida
2025-05-10 07:47:56
1
fauzianyahi :
Amiin
2025-06-29 16:18:12
1
Karim Jafari :
Shekhe Waridi nakufatilia sana Mwenyezi Mungu akuzidishi kila la kheri na akupe afya.
2025-06-25 06:49:28
2
dija :
Hakika kila kilicho andikwa kweny quruan kiko mjarabuu
2025-06-24 11:19:22
2
Ibuba_47 :
Kwani hatuwez kuomb kwa kiswaili
2025-07-14 05:56:43
2
allinonefashionsboutique :
Sheikh ya baswit ndio unarudia mara 40 or rabi zidni ilma yote mpaka mwisho mara arubaini
2025-05-29 17:35:47
4
dr kidyaunga :
Kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 6 kamili mchana mwisho.
2025-05-08 07:54:45
3
To see more videos from user @mwinyiamiraboubak, please go to the Tikwm
homepage.