@missdarling973: 😭😭😰 Ni ngumu kuamini sisi tulio baki pumzika kwa amani baraka ##😭😭😭

hellen Erick
hellen Erick
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 11 May 2025 10:17:09 GMT
639044
32534
1193
506

Music

Download

Comments

chikomati37
CHIKOMATI :
mkifika vikosini kaaaeni na wakongwe tena wale wazee ndio watawapa mfumo watu wengi masikini walikuwa na ndoto za kuwa hivyo au wanao wawe hivyo Sasa inapotokea ww umeenda na wanajuwa umetoboa chuki hutanda African people ni masinichi wakongwe huwa hawaendi kwanza mzazi anakuja kukuona na kukusii juu ya kazi Kisha utaenda usiku na wasijue umekuja Kisha hakikisha umeniona inbox nikupe code hakikisha sehem ya kulala isiwe hom na kuondoka usiage na dem wako wa shule kitaa mkataee na pombe kunywa hakuna Kwa jumuia hakuna kufanya hafraha za kufrahi machungu hakuna kutoa pesa kutoka mfukoni,hakuna kwenda na gari ZINGATIA code hizo mengine ukifika nenda kwenye makaburi ya ndugu zako walimie Kisha ondoka usiwe nunda kitaa kuuza sura kutamba kupiga mtu kujitunisha kuruka sarakasi juwa upo kwenye Dunia ya watu wasio kuhitaji ila ww unawahitaji Nina mengi ya kuwaasaa but it's all about time
2025-05-12 03:59:42
558
tajiri.msisi
TAJIRI MSISI :
mwamba amehitimu yar 29/4/2025 juz kapewa likizo kafika kwao kichwa tu amefariki ,yaan hajala hata mshahara hata 1
2025-05-11 15:32:26
361
user6294161677376
Kassim tenda :
acha sifa we paka askari gn ww mchumba t
2025-07-16 19:09:23
0
user8163177540720
Eliza collection🥰 :
daah 🥲🥲 nakumbuka mdogo wang nmepambana kumsomesha kafika jesh kaajiliwa kafanya kaz kdg to kawa chiz🥲🥲 binadam n wabaya sana
2025-07-16 13:52:45
0
manebomeza
user949216568718527 :
bina dam awana mana jitiada akili guv zake ila bado wame mtanguliz na shilik mungu ata mlipia dogo
2025-07-20 17:15:10
0
dragon969blood6
Double J ☠️🇹🇿🪖 :
kwa heshma familia
2025-07-14 21:55:17
1
kalashnikov_boyka
KALASHNIKOV❤️🇹🇿 :
Wamemaliza Kozi juzi juzi tu tarehe 29/4 hapo. Kaugua ghafla tu Malaria na ni baada ya kupangiwa Vikosi vyao vya Kazi. AMINI USIAMINI: NDUGU BAADHI HAWAPENDI MAFANIKIO YAKO. HuweI elewa. R.I.P Boy🇹🇿
2025-05-11 22:23:48
135
jokertz4
jokertz4 :
Baba aliwahi niambia,, ukitaka kufanikiwa Nenda mbali na nyumbani pia ukifanikiwa huko mbali kuwa adimu kuja kuja nyumbani……..mwanzo nilidhani baba haitaji niwe kalibu na Familia ila nilipo maliza chuo ndo nilielewa Nini Baba alimaanisha…RIP Mwamba😞🥹
2025-05-12 17:01:28
113
furaha.halisi3
Furaha halisi :
mwanangu anapenda jesh ila mpaka SASA sitaki aende
2025-07-16 11:51:53
0
ngosha_zagamba
ngosha zagamba :
Adui yako ni yule anayekujua.. adui hatoki mbali
2025-05-12 19:23:55
3
hapriciousdickson3
mom! Lisa Dickson..❤️ :
mm ndio maan sija soma maan ninge soma tu saiv ningekuw nishazima zaman sana😭😭
2025-05-12 20:11:53
8
officiallenath0
Officiallenath :
deti Kagera nkanda itakukumbuka sana 825kj rip kamanda
2025-07-02 10:29:27
0
oscar_traveller
KILIMANJARO_TRAVELER :
Kama unaamini Mungi ndie mkubwa wa maisha yetu sote gonga like hapa
2025-05-12 18:29:33
40
madamkutonainternnet
Madamkutona :
ndio mana nimekua mzito sana kwenda home najua familia yangu wananimic ila inabidi tu niwe pole wanangu wananimic Nawamic pia ila daaah😭. Mungu akupe pumziko la milele Baraka😭😭😭🙏🙏
2025-05-12 19:49:31
5
user80680708057425
official Naila🥰 :
Jaman mtu umepata kazi unaenda nyumban kufanya nn😒 watu hawatakag kuona umewazidi
2025-05-12 07:16:18
4
amosi.joseph5
Amosi Joseph :
Africa tunajua kwenda nyuma siyo mbele
2025-05-11 20:53:51
3
jescarji1
jescarji1 :
pumzka kwa Aman soldier🙏
2025-07-11 07:23:55
0
lingakahussein
Tsar hussein :
kwan amepata ajali au imekuwaje
2025-05-12 11:22:45
14
djjuddahtz
dj judah :
Kihangaiko apo
2025-07-09 20:51:13
0
j4real1492
stoner :
nimeumia kweli rest in peace.daahh inauma kweli Dunian tunapita mungu akupunguzie adhabu soldier 🥺🥺
2025-05-12 09:49:26
3
chikomati37
CHIKOMATI :
NGOJA nitoe somo make Mimi ni mpitanjia tu na Wala sivungamani na upande wowote Iko hivi mungu alimchukuwa Musa na kumuweka Kwa nyumba ya wa misiri Kwa mfalme farao mungu alikuwa kuwa Musa ndio mkombozi wa watu wake lakini mungu kamuweka kuwa KIBARUA wa farao bila ya kujuwa farao anafuga mamba kwake ambae ni Musa na mamba alipokomaa alimgeuka farao mungu alificha Kila kitu Kwa Musa kwani Musa alikuwa mdogo hivyo mungu alikuwa kuwa endapo atamuonesha nguvu zake adui alikuwa mkubwa angewe kumdhofisha hivyo mungu alisubri Hadi Musa alipokomaa ndio mungu akampa nguvu za uwezo wa kupambana Nini umejifunza , moja kabla maono Yako hayajakuwa usitangaze ficha maono Yako angalia unaona Bado ww huwezi kupambana hii nayo ni fundisho Kwa family zetu za kiafrica usitangaze mali,ufahali,ulijali ili Hali bado ujajizingira na huna watu wakukushitua kuwa unapoenda utaanguka hivyo naawasaa ndugu zangu raia wenzangu tufiche maono yetu vifo vipo sisi wote ni wake mja lakini ZINGATIA code why always kizazi hiki but why wazee wetu nao walikuwa hivi je tungewakuta ZINGATIA code
2025-05-12 08:24:15
40
frolarolah
rolah 📍♥️ :
pole mwaya
2025-07-13 10:20:32
0
raythedon
Ray the don :
dahhhh pumzika kwa aman
2025-07-08 09:24:56
0
josephmussa123
jay mwanja :
daaar broo kifo cha huy mwamba kimeniuma sana polen sasa RIP SOJA MWAMBA KATIMIZ NDOTO KISHA KAONDOKA
2025-05-11 12:31:54
28
hope.john81
Hope John :
Daah R.I.P wa depo yangu mungu ailaze roho yako mahali pema Peponi 😭😭😭
2025-05-12 09:44:10
2
To see more videos from user @missdarling973, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About