Very few bible students will understand this, ni vile tu he is ruthless but ako true.....kuna Accountability
2025-05-12 19:13:06
14
vincent_ :
wamekuja after sadaka imetolewa ndio maana amejam😂😂
2025-05-11 20:08:54
50
Bettyk :
Uki compare church ya Nganga na Jcm very big difference
2025-05-11 19:40:04
10
busy bush boy :
is he a real apostle really???? someonr tell me
2025-05-15 17:06:30
2
🦋Mutheu kamamie🦋 :
Apa kusinzia ni makoshaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
2025-05-11 18:47:50
22
wanja ann :
true
2025-08-26 13:40:13
1
KEN GOD SON :
🤣🤣🤣🤗🤗🤗 huyuu hatawai ponaa akii
2025-05-17 21:40:07
0
kimathis daughter :
ama commander ako na depression,,,,,na msinituzi i just ask
2025-05-11 17:56:27
10
TIM :
ameona hawezani na uponyanji 😂😂
2025-08-29 09:36:26
1
💙Ruth 💙 :
unaenda church unaanza kusinzia,si ungebaki home ulale. ukifika church neno lishasomwa pastor amehubiri wewe rudi tu home hiyo ni mchezo. mbona chama na sherehe mnafika on time. fukuza wote pastor
2025-05-12 07:33:47
14
@heich :
"Ati msifanye hii club shaka hola hapa"
2025-08-17 07:46:27
0
👑🧿🦅MissIpupa🦅🧿👑 :
Ni kama ako na beef na mwenye shakahola huyu 😂😂😂
2025-05-11 17:37:29
34
suzete suzie 🇰🇪 🇺🇬 :
na watu wamejaa 😂😂😂😂😂
2025-05-12 07:24:27
0
Humble gal😍 :
toka hapa na matakataka😂😂😂
2025-05-13 21:30:04
3
elizabethkiundi :
He had places to be after service 😂😂😂
2025-06-06 02:35:16
0
Fabian Justin :
true
2025-08-03 21:33:25
1
wagrandy :
Me i hate drama i swear before God🤔
2025-05-11 19:53:27
0
danielpedaste :
watumishi wa mungu hawana makasiko. bora ungemuombea kuliko kumfukuza mungu apendi hivyo .
2025-06-18 20:15:45
0
Baby Azariah🪴 :
😅😅😅😅😅🤣🤣one day I wish nione pastor ng'ang'a 😂😂😂I love him so much....
2025-05-15 12:55:01
0
auntie mo :
😂😂😂 nganga sio shakahola
2025-05-12 14:40:33
0
mercybeth3 :
Khai🙆🙆🙆hawa watu wako huku,wako sawa kweli???🤨🤨
2025-05-11 18:34:38
6
ritah :
siku hizi uko kwa komanda 🤣🤣
2025-05-11 17:46:20
2
Milkah Wanjiru :
😂😂😂😂😂😂😂😂 is true
2025-08-01 07:28:11
1
selector narty kasee :
Club isifanywe shakahola
2025-06-07 05:04:51
0
To see more videos from user @tiktoktrends_tk, please go to the Tikwm
homepage.