@freetaxguidetz: 💥Part 126💥| GHARAMA ZA KUBADILISHA UMILIKI WA GARI~TRA✍🏻 🔘Tunatoa Ushauri mbalimbali kuhusu Uanzishwaji wa Biashara. 🔘Usajiri wa Jina la Biashara, Biashara ya Ubia (Partineship), Kampuni na Tust (Mfuko wa Uaminifu) 🔘Ushauri kuhusu Kodi mbalimbali na Forodha. 🔘Ushauri kuhusu uagiza wa Magari nje ya nchi hasa JAPAN🇯🇵 . . #mwanza #tanzania🇹🇿 #tanzania #tanzania🇹🇿tiktook #tanzania🇹🇿tiktook #kenyantiktok🇰🇪 #tanzaniatiktok #tanzaniasafari #biashara #tanzaniantiktok🇹🇿 #maderevatanzania #tanzaniatiktokers #tanzania🇹🇿tiktook #wananchi #mabasitanzania🇹🇿 #biasharatiktok #tanzania🇹🇿tiktook😅😂😂😂 #tiktokuganda🇺🇬 #magari #tiktokuganda🇺🇬🇺🇬🇺🇬 #tanzaniacomedy #tanzaniatiktokers
kaka nataka kubadili jina jakini naambiwa asilimia 10 nisaidie kaka
2025-05-28 14:05:27
1
Madam Joy 🇹🇿🇺🇸 :
Na je vipi kama umeuza gari na imeitajika receipt why ikatwe VAT na ni gari zimeshatumika mda mrefu? Gari ya million 40 na ikuje vat ya million 7 na why?
2025-05-23 19:58:47
1
justin mby mwasele :
kaka mimi gari nili nunua mwaka na mkataba wa manunuzi ninao je naweza kibadilisha umiliki
2025-05-31 20:50:20
1
amin msangi :
👏👏Safi sanaa kwa kutoa elimu kwa wananchi
2025-05-23 09:24:51
1
Edson :
Mm niljnunua pikipiki na haijabadilishwa umiliki nifanyaje
2025-06-04 19:13:18
1
Mrs jey khan :
Je unaweza kunisaidia kwa hili?
2025-07-06 06:32:12
0
@mu_motors_plots_sgd :
Je, ikiwa mtu amenunua gari kwa njia ya mnada wa hadhara kwa amri ya Mahakama kupitia dalali wa Mahakama anatakiwa afanyeje kubadilisha umiliki?
2025-05-26 16:20:07
1
RAIS WA MAISHA YANGU :
dah hii kazi kweli kwa hiyo nikipata gari la bei poa TRA wao wataamua bei ya kuuziwa ili wao wapate kodi yao?kazi ipo
2025-05-29 08:47:15
1
gplanner_Tz :
Je transfer fee na card fee unalipia wapi au baadaa ya kufnya application ndo unafnya malipo
2025-05-26 17:27:45
1
Sajo :
Habari mkuu nauliza ni lazima ku attach tax clearance kwenye mfumo pale unapobadili umiliki.
2025-05-21 10:59:40
1
BMK :
je kadi zilizopo nazo zinabadilishwa ?
2025-05-21 12:12:20
1
thebosslady988 :
Naomba nielezee letra ni kitu gani kwa pikipiki inakuaje..pikipiki yangu imakamtwa juzi na sina elimu kuhusu hili
2025-05-25 08:00:42
2
iddidaudi :
video kama hivi, ruhusu watu kuhifadhi, ili wapate marejeo ya elimu hii...
2025-06-02 08:36:17
1
joachimlaiser :
mm nataka kununua trekta kutoka kwa mtu kutoka kenya ,namba za usajili ni za kenya , utaratibu ni upi na gharama nikiasi gani
2025-05-23 16:50:28
2
black pearl :
ikiwa gari nimenunua na iliuzwa kwa mara ya kwanza jwa mtu mwingine na hawakubadilisha majina na mnunuzi wa kwanza ameshafariki hii ikoje?
2025-05-29 15:27:14
1
To see more videos from user @freetaxguidetz, please go to the Tikwm
homepage.