@islamicswahilinet: Mahari siyo malipo kwa familia ya mwanamke, bali ni mali ya mwanamke mwenyewe, ambayo anaweza kuitumia kwa namna anayoona inafaa. Ni ishara ya heshima na wajibu wa mume kwa mke wake, na inapaswa kutolewa kwa nia safi na kwa makubaliano ya pande zote. Kwa updates zaidi za Habari, Mawaidha , Quran na Dua Tufollow sasa @islamic_swahili_net @islamic_swahili_net @islamic_swahili_net #islamicswahilinet #mawaidha #quraan