@insideoutz__: DIAMOND PLATNUMZ ANANILIPA VIZURI KULIKO WASANII WOTE HAPA BONGO Producer @s2kizzy aka Zombie amefanya interview na @soudybrown amesema yeye ndie Producer mwenye mafanikio kuliko Producers wote wa Tanzania. Akaulizwa ina maana ana mafanikio kuliko hata MAJANI akajibu P Funk ni legend ila kwa kikazi hiki yeye ndie mwenye mafanikio zaidi kuliko wote. S2kizzy anasema yeye japo kuwa ana muda mchache kwenye game na amewatoa Producers wengi wanaofanya vizuri sasa hivi . Ukifuatilia vizuri historia ya muziki wa Tanzania P Funk amefanikisha kumleta Producer Lamar Master Jay amefanikisha kumleta Producer Marco Chali na Marco Chali kamleta Daxo Chali Manecke amefanikisha kumleta Bob Manecke just to mention few Generation ya sasa hivi unaweza kumuweka S2kizzy kundi moja na wakina Ayo Laizer , Kimambo , Ringtone ,Mocco Genius , Luffa !? Vipi kuhusu wakina Nahreel , Emma The Boy , Marco Chali na Manecke au wao ni generation tofauti!? Hudhani kuna haja ya sisi kutunza kumbukumbu ya kazi za watu muhimu kwa vizazi vijavyo!? #bongoflava #s2kizzy #diamondplatnumz #soudybrown #insideoutz