namshuhudia mungu ndani yangu hakika, hakika,hakika, sina hofu tena nimekua mwema kuliko enzi za uislam
2025-05-23 16:08:22
78
Augustino Ernest Mhina :
Mithali 4:23 Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
Uzima upo ndani yetu
2025-05-25 04:54:35
40
Benaldo de timer :
people of earth it's time now for everyone to understand the universe and turn on a new frequency dimension
2025-05-25 01:53:03
13
janjezcool :
true my sister. we ought not to fear what we are taught to fear nor finding comfort in what we are traditionally accustomed to.
2025-05-23 23:45:02
6
Godfrey Alfred :
daaaaa hii shule mbona kama inazidi upeo wangu wa uelewa? nahitaji hii shule pls nisaidie
2025-05-23 17:30:41
11
Bloody :
hakika elimu yako ni nzuri sana Mungu aliye moyoni mwangu akujalie nguvu na uzima ili wengine wapate elimu hii
2025-05-24 12:57:35
8
ositu k :
i love what you do🥰🥰🥰,,,
more blessings to you.
2025-05-23 15:14:59
5
Lukomo_Tz :
Ongeza speed kidogo ya kuongea wengine kwetu mbali.
2025-05-24 15:47:28
12
mbuganoaggrey296 :
Dada yangu naomba unisaidie andiko hili. Luka 11
52 Ole wenu, enyi wana-sheria, kwa kuwa mmeuondoa ufunguo wa maarifa; wenyewe hamkuingia, na wale waliokuwa wakiingia mmewazuia. msaada wako
2025-05-28 08:14:26
6
Cleophace Robert :
kwanini najalibu kukuelewa lakini Kuna vitu unaniacha
2025-05-25 08:17:37
9
jc one :
leo nataka ni kwambie asante sana kwa kutuambia haya umepoteza muda kwa jili yetu❤️❤️
2025-05-24 10:57:01
10
Hassan Saleh :
Kwa miaka kadhaa hapo nyuma biblia tuliisoma hali ya kukariri kuidadisi huwa dhambi hali ya kuogofya kukufuru. Ninadisi andiko ni njia yaMungu pekee
2025-05-23 18:28:10
6
Rohitmellah 💫 :
nawasubiri waislam waje kukupinga mana wao wanaijua Biblia kuliko wakristo wenyewe🤣🤣🤣🤣
2025-05-25 03:59:20
5
Winnerleah :
Asante kwa Darasa... naelewa sasa
2025-05-24 05:59:24
6
user9060290047783 :
Nilikuwa kwenye geleza la kidini kipenzi umeniokoa mungu hakujalie maisha malefu
2025-05-24 12:28:40
5
maranya :
kipi natakiwa kufanya ili niingie ndani yangu na kuyajua yote hayo?
2025-05-24 06:36:53
15
Black Masiah :
we dada mi nakupenda bure hili limenifariji kwa kuwa nilianza kuwa mdadisi kitambo mpaka nkagombana na kutengwa na ndugu sasa ww ni ndugu mpy nashukuru umekuwa kioo changu najitizama kupitia ww..asante
2025-05-23 20:06:36
8
Am not you 🔏🎭 :
je utaweza kunijibu hili swali kuna utofàuti gani kati ya mungu unae muongelea na mungu alie andikwa kweny historia ya vitabu vya kidinii
2025-05-24 18:34:39
9
Captain Africa :
yeah tafakali ya kina mwenye macho na aone mwenye masikio na asikie, yale mambo sio mambo tena anaevuma baharini sio papa tena chombo cha maarifa kinachukua nafasi
nimekuelewa sanaaa
2025-05-23 18:19:37
6
VUGA :
Vipi kuhusu Zumaridi anapatia? au kama hapatii alipo teleza ni wapi
2025-05-24 11:15:15
5
Christine 🤍🖤 :
Namshukuru Mungu kwa maarifa yaliyo ndani yako..
2025-05-24 16:23:20
6
Renee👸 :
usikute waafrica ni misukule yawazungu😂
2026-02-15 09:19:48
1
isaya :
dada mimi nimekuwa na meditation lakini mchungaji wangu na ndugu zangu wanasema eti nina roho ya kichawi ndani yangu ukweli nikwamba niki meditation najisikia amani najihisi mwenye nguvu sana
2026-02-09 11:00:54
3
Sarah Halfani :
ahsante
2026-02-16 04:17:41
1
thegreatanuary :
UFUNGUO WA MAARIFA.
2025-05-30 11:06:11
3
To see more videos from user @eyes.wide.awake, please go to the Tikwm
homepage.