siku akiweza kusaidia masikin waliojaa kanisan kwake na akaacha kuwanyonya mpaka kile kidogo walichonacho kwa kivuli cha sadaka, hapo nitamuelewa🤣🤣
2025-06-02 20:40:16
19
Hassan Katoto :
Ukiongea ukweli watu hawapendi
hongera sana brother
2025-06-02 19:27:53
30
luphotopessa20 :
wewe umesema ukweli kabisa nahuyu gwajima analake jambo naona kachoka kukaa kwenye amani kama amechoka ahame aende akakae mataifa yenyevita
2025-06-03 09:25:35
14
chake chake :
huyuu jamaa hajawahii kuongea pumba
2025-06-03 07:34:13
33
EL AbdouL :
Leo ndo nimekupenda kw kuzungumzia ukweli juu y Uisilamu 🥰 maashallah
2025-06-03 10:08:44
14
hamqaati :
asante kaka uko sahihi umetukumbusha japo tulikua twajua toka mwanzo
2025-06-03 11:17:29
6
us :
kuhusu uwisilam uko sahihi kak
2025-06-04 14:49:14
5
lusam balozi :
Bro mm nakuelewa sanaaaaaaa
2025-06-02 19:32:54
19
seif abdallah :
yuko sahihi
2025-06-03 08:10:20
7
Bm collection :
Kumbe huyu jamaa anaongea point sasa naanza kukufatilia
2025-06-03 12:42:02
5
Mkuludawa :
kweli kabisa
2025-06-03 04:10:07
8
Dullah_kidali :
sas mbna kila anayekosoa serikali ya CCM we unadai ni kibaraka wa wazungu je na hao CCM je viongozi wao sio vibaraka wa wazungu ?
2025-06-02 20:00:30
18
achamiramrope :
hakika ndy ukweli
2025-06-03 03:31:41
6
Matesta :
You are 100% right brother. Akili kubwa sana.
2025-06-03 07:57:53
8
amin.attai :
tafuta clip yake aliyoiongelea kuhusu uisilamu kukuwa kwa kasi duniani,akasisistiza wachukue hatua kukomesha janga ilo,kinachomsumbia gwajima ni mama ni muisilamu na anafanya vizuri,kila mkiristo anaejielewa anakiri tawala zote za kiisilamu maisha yanakuwa bora kwa kila mtu kuliko tawala za kikiristo
2025-06-20 15:32:09
9
user3319906862038 :
sisi tunajua hili kitambo sana
huyu gwaji ni zaidi ya shetani
yaani huyu Mungu amlaani na ampeperushe atoweke milele kwa dua zetu maskini watanzania, Amin
2025-06-03 04:03:16
25
gsb :
kaka mie nakushauri ingia kwenye dini ya uislamu.dini ya watu wanaojielewa na yenye ustaarabu wa kutosha.ukweli utabaki kuwa ukweli
2025-06-03 01:20:41
7
papi ✨ 👻 :
nmekuelewa sanaa kaka, awajamaa wanatumika na wazungu yani bunge la europe inatow six demands..ikiwepo ushiga kisa lisu.
2025-06-03 06:12:29
7
omy.fszz :
brother factfact
..waambie hao vinabo
2025-06-02 19:38:14
7
kassimbory :
AKILI YANGU ANANIAMBIA
"HUENDA MIONGONI MWA WANAOPINGA
UTEKAJI KUNA WATEKAJI" WANATUZUGA, WANATEKA WATU KISHA WANAZUNGUMZA ILI IWE NGUMU KUAFUATILIA......WANASIASA KAMA GWAJIBOY SIO WA KUAMINI SANA...NI MAWAZO TU,SIO KWA UBAYA
2025-08-18 12:48:52
2
Jew :
Yaani ukemee mauaji uonekane mbaya???
2025-07-14 13:29:32
3
Azy Aziza :
kweli
2025-06-30 22:32:19
1
Moncada :
Mmmh Bro. Gaddafi alifanya kila kitu kwa watu wake lakini walimgeuka wakamuua so be careful kile unachoongea .
2025-08-09 15:48:56
1
To see more videos from user @african_boy47, please go to the Tikwm
homepage.