@guthealthyclinic123: “Wengi wanaishi na acid reflux bila kujua. Dalili zake zinafanana sana na za matatizo ya moyo – kifua kubana, presha kupanda, moyo kwenda mbio, jasho, hofu… Lakini unapopimwa kila kitu kiko sawa. Bado hujapona kwa sababu tatizo siyo moyo – ni asidi inayopanda kwenye koo bila wewe kujua. Unahitaji suluhisho la kudumu, si kupima kila wiki!”#acid #acidrefrux #Detox #Constipation #DawaYaAsidi #MatibabuYaAsili #