@tabora999: RAIS JOHN MAGUFULI MPENDA HAKI YA WANYONGE ALIPO KUA KAZINI WANACHI TULIKUA TUNAFURAHI SANA#kenyantiktok🇰🇪 #tanzaniatiktok #ruanda #uganda #congo

Tabora tz
Tabora tz
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 12 June 2025 03:28:58 GMT
224581
5907
50
422

Music

Download

Comments

user43756950816777
@*b*0*0*d :
huyu mzee ndio anasababisha tumwone yule bibi wa magogoni hafai
2025-06-18 20:21:51
19
enock.isaya
Enock Isaya :
kudadeki hakuna mbili kwenye moja.
2025-06-17 20:11:56
12
user431522616530
yohana roberth :
tayar jembe tunae jeska magufuri
2025-08-05 16:58:20
0
user43267142978323
mkomwa gumbo :
we mwamba wew mungu akuondole mazito
2025-06-17 05:13:09
16
c60807
c6 :
hichi ni chuma
2025-06-14 22:55:09
7
user385637783035
user385637783042 :
yaani mzeee nikiona crip zako nazidikumchukia wa kuupigamwingii
2025-07-01 08:35:30
4
dullah0643
Dullah :
ila haikua Tabora
2025-06-13 13:22:19
2
bosco_dismas_nyoni
Bosco Dismas Nyoni :
yan ww mzee nakukubali sanaaa
2025-06-26 04:37:24
2
user6753492776592
user6753492776592 :
mungu. tusaidie
2025-07-26 06:43:34
0
siah42600
Siah♑ :
vizur havidumu pumzika kwa aman magufuri
2025-06-18 10:51:05
4
user2818842979231
الله العظيم :
watu huwa mnatudharau wasukuma nijika kuwa kiongozi natumbua hizi kabila za kipumbavu mpka mniue pia
2025-06-14 03:45:05
3
eliasjuma928
Eliassamwel42 :
R.i.p magufuli
2025-06-25 08:35:09
2
sonmassawe1
sonmassawe :
baba tunakukumbuka kwa mema yako
2025-07-18 19:49:57
1
user5441369608141
Nebo Maji zee :
hiki kiumbe hakijawahi kutokea kwenye hili Tanzania hakuna Nyerere wala Msoga
2025-06-23 11:22:54
2
user1300877197490
Pro Xteve25 :
Aiseeh!! mim stak kusema chochote
2025-06-25 03:41:46
2
mambafrimasoni
Mamba Frimasoni :
Bab
2025-06-29 17:28:12
1
hiphop.uchwara
hiphop uchwara :
yupo mzanzibar sasa hivi hajali chochote
2025-06-25 07:38:51
2
estermwambuzi
mbuzi :
Mungu akupe pumziko zuri huko uliko Baba🙏
2025-06-23 18:49:26
2
johnii43
johnii :
hasira sana lakin hapa katumiya busara tuu Mungu tuu nyot zilitaka kudondoka hapa
2025-06-19 07:54:17
2
mudyzeke
mudyzeke :
tungeenda na jpm naamini muda huu tungekua tunakaribia hispania safari yetu
2025-06-22 09:00:06
1
saddhbrand1
MR LONELY :
TATIZO walikuwa na mazoea ya kwamba nikifanya HIV sifanyw chochote
2025-06-16 15:39:15
1
user4511126916823
user4511126916823 :
rais wetu uko mioyon
2025-06-12 13:34:33
2
stevenkipalule4
stevenkipalule4 :
Maana halisi ya kauli ya rais n sheria ilikuwa kwa mzee wetu magufuri huyu baba alikuwa chuma kwel kweli R.I.P rais wa wanyonge
2025-06-20 16:40:03
1
paschal.vice
Paschal Vice! :
hivi bi tozo haangalii hizi clip jamn 😢
2025-06-20 18:18:25
1
simioni147
simioni :
baba amuka uone ulivotuacha tunateseka
2025-06-19 11:11:47
1
To see more videos from user @tabora999, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About