Fatma bint Rasul alifariki hali ya kuwa amewakasirikia Abubakar na Omar na akafa hali ya kuwa haongei nao na kuzikwa usiku kwa siri ili watu hao wasihudhurie maziko yake....! Pole sana Mtume kwa waliomfanyia Bint yako mpendwa ambaye wewe umesema Fatma anatokana na pande lako la damu na yoyote anayemkera Fatma amekukera ww Mtume na Fatma ndiye kiongozi wa wanawake wa peponi na upo vitani na yoyote anayewapiga vita Ahalulybayt
2025-06-14 08:41:41
2
SAYYID :
iyo ndo kazi iliobakia kama hamjui mnachekwa
2025-06-14 18:08:15
2
mwalim 313 :
shekh mbon unakatkat video haziish mbon unakuw mnafiq ndg usikat video hiz
2025-06-16 06:08:53
1
Rahimu mahdawiya :
shkh nina wasi wasi na ww kama siyo mtoto wa zinaa wa nje ya ndoa au mtoto wa hedhi. maana siyo kwa kuwachukia mashia hvyo.
2025-06-29 19:23:38
1
CaptainCzo_92 :
MASHIA NI MAKAFIRI WANAOTUMIA KIVULI CHA UISLAMU KUSAMBAZA UKAFIR WAO
2025-07-05 17:05:33
1
valerian king :
🥰
2025-07-05 23:27:57
1
swaghiiru na jamii :
Utawadanganya wengine sio sisi..
tunaelewa ninyi ni watu wa fitna,
mnashindwa kuwafundisha waumini wenu itikadi zenu mnakalia fitna tu😢
2025-07-08 18:30:00
1
Tijani Shabani Tijani :
hebu msikilizeni huyo shehe vizuri acheni usanii wa kimitandao