@newsupdatemedia: Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam leo June 15,2025 limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima (Glory Of Christ Tanzania Church) la Askofu Josephat Gwajima walioamua kuandamana wakiwa na nabango kutoka katika eneo walilokuwa wanafanya Ibada kuelekea katika Kanisa lao kwa kutumia barabara ya Morogoro. Waumini hao wamebeba mabango yanayoshinikiza Kanisa lao kufunguliwa na wakitaka wapewe haki yao ya kuabudu, mabango yameandikwa “Hatutaki utekaji” na lingine “Tunataka Haki ya Kuabudu”. #newsupdatemedia

NEWS UPDATE MEDIA
NEWS UPDATE MEDIA
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 15 June 2025 14:33:05 GMT
677234
14526
2850
721

Music

Download

Comments

gminorgs
G Minor Gs :
Nguvu inayotumika kuwafukuza hao watumishi ingetumika kuwatafuta watekaji hii Tanzania ingekaa salama sana
2025-06-15 19:53:03
419
takehomestorestz
takehomestorestz :
Safi jeshi la police
2025-06-15 18:44:29
40
samuel.eto458
Samuel Eto :
gwajima muster be president
2025-06-15 18:21:25
141
sarrha225
Anjerina :
sijafurahishwa nilitegemea waumini wasikimbie maan wanaroh myakatifu ndani yao🤣🤣🤣🤣.
2025-06-15 16:23:33
111
bahati.mahe
Bahati mahe :
watu wanataka matatizo wenyewe mmeambiwa kanisa limefungwa af wewe unaenda kwann sibusubiri tamko kwanza jmn
2025-06-15 16:26:12
39
eddy.katamba
Eddy Katamba :
serikali Haina tatizo lolote mbona hawajaenda sehemu ingine Kwann mnaichokoza selikali alafu mnakuwa wa kwnza kulalamika? kanisa limefungwa mnajifanya ndio mnamjiu mungu peke yenu nendeni makanisa mengine
2025-06-15 16:29:15
27
penny7242
kjk mtt w masharubu :
mm muislam lakini sijapenda kitendo cha kufunga kanisa why msimkamate ngwajima kanisa lina kosa gani
2025-06-16 05:04:47
39
www.okumba
tit 4 tat :
teargas ndio watanzania wanaita mabomu😅😅
2025-06-15 20:05:43
96
saidiboltea875
ion 🇹🇿 :
muda mwingine laia tunayatakaga wenyewe kwani ni lazima kusali hapo????? mboni makanisa yapo mengi?????
2025-06-15 20:11:20
18
andersonmichael741
Anderson Michael :
huo niusenge mnapiga watu wanao abudu mnaacha vibaka kumamae zenu wote njon mnikamate na mimi wengine hapo mmzaliwa kwamamazenu kuombea wasenge nyie
2025-06-15 18:18:46
52
k.a.b.a.b.a.a
🇰🇪𝐇𝖆𝖎𝖓𝖆 𝕸𝖆𝖇𝖊𝖌𝖆🔥 :
😂😂MABOMU NDIO NINI WATANZANIA 🇹🇿
2025-06-16 06:40:14
11
__el_hady
El_hady🇰🇪🇰🇲 :
watanzania Waoga
2025-06-16 09:20:38
11
fettylicious37
Fettylicious 💝 :
ndugu zangu mnaona mambo kama haya mnatulia nyumban,mambo yakishakaa sawa mtaenda sasa unakuta m2 mzima unazalilishwa kwa kupigwa kama mtoto 🤨🤨🤨 hata nyumban pia unasali 2 mana mungu yupo kokote
2025-06-16 16:55:01
12
mkenyadamu2
mkenya damu :
kwani akuna mawe uko
2025-06-16 15:31:22
6
sophiasophia28107
Sophia Sophia :
awa polisi si wangepelekwa Kenya waone vile wangepigwa
2025-06-16 07:49:20
11
zahranaly
CHIPSON :
🤣🤣 ua nguruwe aoooo
2025-06-16 07:24:09
6
254k09
Amani Mapesa :
Kenya nikama Ruto anabembeleza watu aki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-06-15 17:57:55
5
user133499716152
Agebom :
uonevu huu kabisa samia nchi imekushinda ,na askali nyie mtapata laana kwenye maisha yenu
2025-06-15 17:37:44
523
user5395328145955
Sulu.77 :
😂😂😂 vipi tena roho mtakatifu amewasaliti mbona mnakimbia🤣🤣🤣 wajinga nyinyi mnachezea serekali sio mbwanyny🤣🤣🤣
2025-06-15 17:47:58
24
nino.nino168
Nino Nino :
mimi ni muislam ila kwa hili hapana hawaja tendewa haki hapa ndipo otaonekana sisi waislam ni wabaguz kwa sababu nchi anaiongoza muislam kwa nini asikamatwe mwenyewe gwajima kanisa likaachwa shida iko wapi jamani dah mtihani kweli
2025-06-16 20:48:36
5
robbyass55
Robbyass55 :
Serikali IMEKANA mbele ya Jaji kuwa haijawahi kuandika barua ya kulifungia kanisa la Gwajima, Serikali haielewi hao polisi wametumwa na nani 😂😂. Hivi, nchi hii ina Rais? atoe tamko kuwaondoa hao polisi hapo, kama sio yeye aliyewatuma😃😃
2025-06-15 16:03:34
46
user8754928617555
user8754928617555 :
ndio maana najivunia ukatoliki wangu wenye haki na ukweli ktk taifa
2025-06-15 16:04:31
20
user48298133806067
pangani shop 2025 :
gwajima nae amekosea yeye ni mtu wamungu akatoka kwenye dini na kwenda kwenye siasa na siasa ni mchezo mchafu ona sasa yanayo wakuta waumini hawana la
2025-06-15 19:27:35
7
paschal.vice
Paschal Vice! :
kwan kulikuw hakuna hata mawe hapo muwapige
2025-06-15 16:26:26
10
said.cops6
Said Cops :
TAYARI NJOONI WAMESHA ONDOKA TUENDELEE NA UJINGA WETU HUKU 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
2025-06-15 19:13:23
8
To see more videos from user @newsupdatemedia, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

#سيد_فاقد_الموسوي  #من الداخل. بدلاً من التركيز على ما ينقصك، ابدأ بتقدير ما تملكه الآن. • تمرين بسيط: دوّن كل يوم ثلاثة أشياء بسيطة جعلتك تبتسم (كوب قهوة، رسالة من صديق، أو حتى لحظة هدوء). هذا يدرب عقلك على رصد الإيجابيات وسط الضجيج. • توقف عن المقارنة: تذكر أن وسائل التواصل الاجتماعي تعرض
#سيد_فاقد_الموسوي #من الداخل. بدلاً من التركيز على ما ينقصك، ابدأ بتقدير ما تملكه الآن. • تمرين بسيط: دوّن كل يوم ثلاثة أشياء بسيطة جعلتك تبتسم (كوب قهوة، رسالة من صديق، أو حتى لحظة هدوء). هذا يدرب عقلك على رصد الإيجابيات وسط الضجيج. • توقف عن المقارنة: تذكر أن وسائل التواصل الاجتماعي تعرض "أفضل اللقطات" فقط، فلا تقارن كواليس حياتك المتعبة بعروض الآخرين المثالية. 2. إدارة العقل والمشاعر أفكارك هي التي تلون عالمك؛ إذا كانت سوداوية، سيصبح العالم باهتاً. • عِش اللحظة: القلق هو عيش في المستقبل الذي لم يأتِ بعد، والندم هو عيش في الماضي الذي انتهى. ركز على "الآن". • تقبّل المشاعر: الحياة ليست سعادة دائمة. من الطبيعي أن تحزن أو تغضب؛ تقبّل هذه المشاعر واعطِ نفسك حقها في التعبير ثم امضِ قدماً. 3. الاستثمار في العلاقات الإنسان كائن اجتماعي بطبعه، وجود دائرة داعمة هو سر الصمود النفسي. • النوعية لا الكمية: صديق واحد حقيقي يفهم صمتك خير من مئة صديق للمجاملات. • العطاء: مساعدة الآخرين تفرز هرمونات السعادة (الإندورفين). اصنع يوماً جميلاً لشخص آخر، وستجد أن يومك أصبح أجمل تلقائياً#outfit colorمن الداخل. بدلاً من التركيز على ما ينقصك، ابدأ بتقدير ما تملكه الآن. • تمرين بسيط: دوّن كل يوم ثلاثة أشياء بسيطة جعلتك تبتسم (كوب قهوة، رسالة من صديق، أو حتى لحظة هدوء). هذا يدرب عقلك على رصد الإيجابيات وسط الضجيج. • توقف عن المقارنة: تذكر أن وسائل التواصل الاجتماعي تعرض "أفضل اللقطات" فقط، فلا تقارن كواليس حياتك المتعبة بعروض الآخرين المثالية. 2. إدارة العقل والمشاعر أفكارك هي التي تلون عالمك؛ إذا كانت سوداوية، سيصبح العالم باهتاً. • عِش اللحظة: القلق هو عيش في المستقبل الذي لم يأتِ بعد، والندم هو عيش في الماضي الذي انتهى. ركز على "الآن". • تقبّل المشاعر: الحياة ليست سعادة دائمة. من الطبيعي أن تحزن أو تغضب؛ تقبّل هذه المشاعر واعطِ نفسك حقها في التعبير ثم امضِ قدماً. 3. الاستثمار في العلاقات الإنسان كائن اجتماعي بطبعه، وجود دائرة داعمة هو سر الصمود النفسي. • النوعية لا الكمية: صديق واحد حقيقي يفهم صمتك خير من مئة صديق للمجاملات. • العطاء: مساعدة الآخرين تفرز هرمونات السعادة (الإندورفين). اصنع يوماً جميلاً لشخص اخر#

About