Hii Asubuh hiyo unaenda shule unakumbuka hujafanya homework ya mathe😂😂..nyimbo inakusindikiza Radio free unaona kama unaenda jahanam😂
2026-07-17 05:40:18
1
ᴍᴇᴅᴅʏ ×͜× :
Mwana Tamala
Mwana nze kwagalanyo
2026-07-10 05:21:53
3
Rashid Kadege :
hii ngoma inaumri mkubwa kuliko umri wa mkewangu😂😂😂
2025-06-25 13:21:06
15
Yule Gal Kidoti :
huyu mika mwamba mikono yke n🔥🔥🔥🔥🔥🔥
2025-06-16 19:35:10
11
Nuru Mfinanga :
you made my day🥰..ubarikiwe
2025-06-16 14:45:37
8
ONE IS ONE :
nilikuazangu mwanza 2004 kama mpiga debe hodari,
2025-06-16 20:21:56
5
2tru :
this man even put luganda in this hit song 👌
2025-06-19 10:08:54
3
nana :
mpk leo hakuna alieimba dance hall nzuri kama hardmad this guy had voice dah
2025-08-01 18:18:54
7
khaleedmuhammad62 :
Mika mwamba salute 🫡 👏 🙌 🙏
2026-04-19 10:07:44
2
Ramadhan Hassan :
nyimbo yangu pendwa miaka yote
2025-06-16 17:51:05
3
Raston4G :
my favorite song 🎵
2025-06-25 06:56:18
2
Jasus La Kinyamwezi :
enzi hz nkiwa mbugan napiga jembe pande za igunga
2025-06-20 18:05:13
7
AD Adam :
Kuna huyu af Kuna Eno mic af Kuna Ile serina la Ally com wadada waliua sanaa ila Farida alifunika wote
2025-06-19 18:39:26
4
zette :
Mika Mwamba alikuwa genius bwana 🙏
2025-12-09 12:10:18
2
Tishio boy7 :
kaka kwaeshima broo umetisha🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2025-06-28 02:44:34
1
aziza :
mika mwamba shikamooooo watoto wa elf 2 huwez elewa utamu wa hiz Ngoma
2025-07-31 18:00:24
5
king 👑 Joh :
heshima kwa Mika mwamba popote alipo🔥🔥🔥
2025-07-02 18:13:54
1
Doriejoh :
wimbo wangu pendwa🥰
2025-07-10 19:25:50
1
ONE IS ONE :
dah nilikuazangu mwanza 204
2025-06-16 20:20:06
1
keizzy :
Mika Mwamba aje tena awaoneshe modern producers namna ya kuchakata beat. Mwamba beats za huzunu alitisha, bangers ndio kama hii. 🔥🔥🔥
2025-06-21 04:57:36
5
@𝑎𝑧𝑖𝑧 𝑠𝑤𝑎𝑙𝑒𝑘ℎ :
inaitwaj hii nyimbo
2026-07-17 21:59:07
0
MSHILAZY🇶🇦🇵🇼 :
Acha niseme Ukwel mm mm chekechea ila nyumba tulikuwa tunakaa na brothers wakubwa alaf wakawa wana piga ivi vitu na mm nikajikut naijua kabisa ase the stili now nina miaka 28 mke 1watoto 2 long time ago 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
2026-07-17 06:14:56
0
Da lovenes :
nakumbaka mbali sna huwa nikiisikiliza najikuta niko sayali nyingine kabisa na tamani miaka iludi nyuma lakini haiwezekani tena 🥰🥰🥰🥰🥰 ila ili bamba mbaya
2026-07-15 05:55:27
0
menk :
mwanaaa tamalaaaa
2026-04-21 14:07:39
0
Tudor Harry :
Hard mad hawezi kutoa ngoma kama hii
2025-06-30 21:25:13
0
To see more videos from user @ngoma_za_zamani, please go to the Tikwm
homepage.