@chichys__kitchen: Unaweza kupika keki 🎂🍰nzuri bila oven wala kufata chochote😍 Acha kutafuta sababu na ujaribu njia Hii Kama umependa keki 🍰yangu comment neno RECIPE ntakutumia vipimo sahihi😍 #easyrecipesathome #EasyRecipes #ticktocktanzania🇹🇿 #cookingtiktok #mwanzatiktok #mwanza #keki
Chichys__kitchen
Region: TZ
Monday 16 June 2025 10:42:10 GMT
Music
Download
Comments
Mrs.r💝 :
mbn aichambuki vzr jamn
2026-05-23 11:36:13
1
trissy❤️ :
Jaman mm nimejali imetoka ladha nzuri ilq haijachumbuka sijui nimekosea wap
2026-05-23 07:36:21
1
user4100242236615 :
me language in aka kama chapati na haichambuki nausea wapi
2026-06-06 07:09:06
0
OFFICIAL SHAKIRA💓 :
mbona mi nimefata maelekezo yote lkn chini imeganda kama ukoko jomon 😁
2025-08-27 14:56:42
20
♧NILHAM♧ :
unga hata huu wa kupim madukan au ule wa pacti???
2026-05-24 07:44:47
1
N saroon :
unga wa ainagani
2026-05-15 13:34:15
1
ennyntoby :
baking powder vp hapo hairuhusiwi
2025-06-16 15:34:57
15
Flora Joseph :
jana yangu🤣
2026-06-01 09:21:14
0
maryam juma mtalimbo :
kisha hiyo chumvi unaitumia kupikia au unaimwaga haifai tena
2025-06-20 12:11:56
14
MamaB 🍰 :
chumvi usaidia nini plz
2025-06-16 14:07:08
37
Irene 💞 :
keki inaonekana ngumu umefanya mchanganyiko wako ni mzito
2025-06-17 10:38:31
10
halimahussein❣️ :
mchanga mbichi inatosha chumvi hasara
2026-05-23 10:34:26
0
Mamajosephine❤❤💋 :
hio chumvi ni lazima
2026-04-28 13:39:36
1
it's me.. :
kwan nkitumia mchanga kuna baya??
2025-07-19 08:47:25
7
Edilicious💕❤️ :
yote kwa yote asante kwa kujibu coment unasaidia watu tunaelewa zaidi ubarikiwe dada
2025-07-19 16:06:45
18
feynar mursary :
kwa jiko la gesi je inawezan😂
2025-06-17 05:05:46
8
missanyes🤍🦋 :
RECIPE
2026-06-05 09:43:27
0
Dcute :
recipe
2026-02-25 09:13:21
1
pretty kamomy📌❤️ :
mm namfollow ju anajibu bila maringo pia nimekupenda Kwa ajili ya Allah dada 🥰😊
2025-06-16 19:40:57
5
m55_2 :
RECIPE
2026-01-30 18:09:04
1
Angel Kizito :
huwek mafuta?
2026-05-27 20:31:39
1
momnaah :
vep huwezi weka amira na benking power ? au ni benking pouwah pekee?
2026-04-10 10:05:02
1
Asmah :
Kama nmekosa baking powder haiwezekan kupika na ingredients nyingn au niache tu ad ntakapopata baking powder
2026-05-29 21:58:37
1
Monacollection_3 :
ur the best nmejaribu na nmeweza 🥰
2026-05-20 20:08:29
1
Annah :
Dear Moto kiasi Gani
2025-10-01 13:11:58
2
To see more videos from user @chichys__kitchen, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.