@eddo_osborn_1: #creatorsearchinsights #pastortonykapola ##GospelVibes #JesusReigns #FaithOverFear #ChristianContent #GospelTikTok #InjiliTZ #YesuNiBwana #GospelTanzania #HabariNjema #NenoLaMungu #GospelKenya #YesuNiMwokozi #Injili254 #WorshipKE #NenoLaUzima

Edward _Osborn🩸
Edward _Osborn🩸
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 17 June 2025 06:31:48 GMT
596833
31137
797
5760

Music

Download

Comments

freesix6
Free Six :
Chukua na hii chukua chumvi weka kwenye maji alafu fungua biblia Wafalme wa 2 (2:-20-21) sema”Kama Elisha alivyo yatakasa maji na chumvi nami nayatakasa maji aya yakawe baraka” kisha kayaoge (tupia chumvi ya mawe ndio halisi) Utanishukuru badae
2025-06-20 04:24:37
730
michaslvicem
DummA :
USIFUNDISHE SIRI MZITO ZA KTABU CHA HENOK,,SIS WAKRISTO WENGNE UMU TUNAJUA MENG UKIFUNDISHA UTAONEKANA MCHAWI ILA TU NI MATENDO KATIKA IMAN
2025-06-17 21:47:04
267
praise1703
Praise17 :
This sign and token worked for me i will forever testify❤️🥰
2025-06-17 09:09:46
248
joyjoyous3
ItsJoy❤️❤️💃🏾💃🏾 :
I will never forget how sign and token did to my life ,will testify one day but I live in testimony every day ,God bless this Man of God 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
2025-06-17 17:05:42
77
eddo_osborn_1
Edward _Osborn🩸 :
KAMA UJINGA VILE KUMBE ULIMWENGU WA ROHO UNAELEWA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰
2025-06-17 06:36:23
387
iamhappyness_model
happinesssteven :
kama wachawi wanafanya hayo sisi ni zaidi yao, kwa imani na iambatane na vitendo unajitoa kifungoni kwa Jina la Yesu. asee nimeipenda hii
2025-06-17 08:11:37
330
bingo_auto_store_moshi
bingo_auto_store :
sasa hapo una tofauti gani na uganga😅😅😅.......umemwamini Yesu una roho wa Mungu ndani yako hayo mapichapicha yote ya nini
2025-06-17 09:39:52
51
user1867094793530
Jesus Christ saves :
any biblical references please?
2025-06-19 01:41:51
5
mhehetz
Victor :
Daa kumbe kuna vitu uwaga tunapuuza but kwangu ilikua jmos asubuhi nikafanya ivo mchana nikaitwa kwny interview nilipofika boss akasema j3 njoo job 🙏
2025-06-23 06:20:33
70
user8166058865690
mama g :
mi naamini jina la yesu tu basi hivyo vingine apana, maji, nafuta,vioo, mishumaa,udongo, apana kwa kweli
2025-06-17 10:53:12
25
machisha2
Methody :
Sijaelewa, unachimba shimo dogo kisha unaweka Jina ama unachukua mchanga kisha unaweka juu ya karatasi uloo andika jina.
2025-06-17 16:39:33
7
millie.leila
Queen Milly :
kama hujateseka kwa hii dunia shukuru Mungu..kinachotuskuma tufanye mambo mengine ni mapito mengi maishani
2025-06-18 18:41:23
17
prosperjuma1
ShakaZulu :
kuna siku wote mtanielewa kuwa hapo hamna mtumishi. ni motivational speaker tu
2025-06-18 16:48:53
6
unknownone466
user1234 :
Wafilipi4:13 nayaweza yote ktk yy anitiaye nguvu💪 Yesu ni zaidi ya yote, msalaba ndio asili yangu 🙏hayo mengine ni uganga tu
2025-06-19 08:11:40
14
bphonesstore_
Bphonesstore_  :
Sure kama ni uchawi basi yesu alikuwa mchawi namba moja
2025-06-17 11:23:26
15
reeny498
Mwafulani😁 :
Kusikia tu Irene nakuita uku kweny mafanikio taar neema ya mungu imeshanifungua🙏
2025-06-18 19:41:53
122
rosemary.mohochi
Rosemary Mohochi :
Mimi nlikuwa katika kongamano hili yani nlifanya kama PT alivyosema asee ilileta matokea na maisha yangu yalibadilika
2025-06-18 14:03:02
70
kahitradeogmail.com
KING :
nimeelewa na nitatenda...na nitarudi kushuhudia Amina
2025-06-17 07:30:19
73
hurrem_munir
Hurrem PN :
Hii kitu siyo ya kudharau. nina ushuhuda wa maisha yangu kupitia hii Sign & Token, ushahidi wa miaka 4 nyuma. Mungu akubariki sana mtumishi kupitia kumbusho hili.
2025-06-20 08:17:25
8
emmietz6
Emmy 🛍️ :
Hii nitaenda kuifanya kijijini kwetu kitovu kilipotupwa naimani nitafufuka nitazaliwa nitakuwa mpyaa katika jina la YESU KRISTO WA NAZARETI
2025-06-21 04:11:23
15
ms_shilwa
Catherine 🧿🤍 :
naenda kufanya sasahiv
2025-06-17 10:45:28
16
happydaud5328
Happy Daud :
hiyo ya mshumaa ilinitoa mahala
2025-06-17 11:26:45
10
www.waceke60
Karenah❤️ :
This so powerful kwa wanao amini ulimwengu wa kiroho asante…I’m coming back with a testimony in Jesus Name 🙏🏽
2025-06-17 23:15:45
8
waridi_shoes
Waridi :
Ukisoma bibilia vizurii utajua njia zote wanazotumia wa ganga kumbe tulishafunuliwa kwenye Bibilia tatizo bibilia tumefanya vitabu vya maonyesho
2025-06-19 18:54:42
10
neema.massawe73
Neema Massawe :
Mimi nili Fanya hv kwenye udongo wa eneo nililokuwa nilishika Ile ardhi nikaisemesha nikaiambia nimechoka nataka kufanikiwa niondoke apa Kama panafaa na Kama apafai nisaidie majibu mapema nimechoka nakweli majibu yangu yalitokea mapema
2026-09-07 20:03:09
3
To see more videos from user @eddo_osborn_1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About