This sign and token worked for me i will forever testify❤️🥰
2025-06-17 09:09:46
247
ItsJoy❤️❤️💃🏾💃🏾 :
I will never forget how sign and token did to my life ,will testify one day but I live in testimony every day ,God bless this Man of God 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
2025-06-17 17:05:42
76
Free Six :
Chukua na hii chukua chumvi weka kwenye maji alafu fungua biblia Wafalme wa 2 (2:-20-21) sema”Kama Elisha alivyo yatakasa maji na chumvi nami nayatakasa maji aya yakawe baraka” kisha kayaoge (tupia chumvi ya mawe ndio halisi) Utanishukuru badae
2025-06-20 04:24:37
713
DummA :
USIFUNDISHE SIRI MZITO ZA KTABU CHA HENOK,,SIS WAKRISTO WENGNE UMU TUNAJUA MENG UKIFUNDISHA UTAONEKANA MCHAWI ILA TU NI MATENDO KATIKA IMAN
2025-06-17 21:47:04
262
Edward _Osborn🩸 :
KAMA UJINGA VILE KUMBE ULIMWENGU WA ROHO UNAELEWA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰
2025-06-17 06:36:23
383
happinesssteven :
kama wachawi wanafanya hayo sisi ni zaidi yao, kwa imani na iambatane na vitendo unajitoa kifungoni kwa Jina la Yesu. asee nimeipenda hii
2025-06-17 08:11:37
329
Mwafulani😁 :
Kusikia tu Irene nakuita uku kweny mafanikio taar neema ya mungu imeshanifungua🙏
2025-06-18 19:41:53
118
Catherine 🧿🤍 :
naenda kufanya sasahiv
2025-06-17 10:45:28
16
KING :
nimeelewa na nitatenda...na nitarudi kushuhudia Amina
2025-06-17 07:30:19
71
Victor :
Daa kumbe kuna vitu uwaga tunapuuza but kwangu ilikua jmos asubuhi nikafanya ivo mchana nikaitwa kwny interview nilipofika boss akasema j3 njoo job 🙏
2025-06-23 06:20:33
67
mama g :
mi naamini jina la yesu tu basi hivyo vingine apana, maji, nafuta,vioo, mishumaa,udongo, apana kwa kweli
2025-06-17 10:53:12
25
user1234 :
Wafilipi4:13 nayaweza yote ktk yy anitiaye nguvu💪 Yesu ni zaidi ya yote, msalaba ndio asili yangu 🙏hayo mengine ni uganga tu
2025-06-19 08:11:40
14
Hurrem PN :
Hii kitu siyo ya kudharau.
nina ushuhuda wa maisha yangu kupitia hii Sign & Token, ushahidi wa miaka 4 nyuma. Mungu akubariki sana mtumishi kupitia kumbusho hili.
2025-06-20 08:17:25
8
Bphonesstore_ :
Sure kama ni uchawi basi yesu alikuwa mchawi namba moja
2025-06-17 11:23:26
15
Karenah❤️ :
This so powerful kwa wanao amini ulimwengu wa kiroho asante…I’m coming back with a testimony in Jesus Name 🙏🏽
2025-06-17 23:15:45
8
Queen Milly :
kama hujateseka kwa hii dunia shukuru Mungu..kinachotuskuma tufanye mambo mengine ni mapito mengi maishani
2025-06-18 18:41:23
17
Emmy 🛍️ :
Hii nitaenda kuifanya kijijini kwetu kitovu kilipotupwa naimani nitafufuka nitazaliwa nitakuwa mpyaa katika jina la YESU KRISTO WA NAZARETI
2025-06-21 04:11:23
14
Rosemary Mohochi :
Mimi nlikuwa katika kongamano hili yani nlifanya kama PT alivyosema asee ilileta matokea na maisha yangu yalibadilika
2025-06-18 14:03:02
69
Waridi :
Ukisoma bibilia vizurii utajua njia zote wanazotumia wa ganga kumbe tulishafunuliwa kwenye Bibilia tatizo bibilia tumefanya vitabu vya maonyesho
2025-06-19 18:54:42
10
ShakaZulu :
kuna siku wote mtanielewa kuwa hapo hamna mtumishi. ni motivational speaker tu
2025-06-18 16:48:53
6
Happy Daud :
hiyo ya mshumaa ilinitoa mahala
2025-06-17 11:26:45
10
bingo_auto_store :
sasa hapo una tofauti gani na uganga😅😅😅.......umemwamini Yesu una roho wa Mungu ndani yako hayo mapichapicha yote ya nini
2025-06-17 09:39:52
51
Jesus Christ saves :
any biblical references please?
2025-06-19 01:41:51
5
Methody :
Sijaelewa, unachimba shimo dogo kisha unaweka Jina ama unachukua mchanga kisha unaweka juu ya karatasi uloo andika jina.
2025-06-17 16:39:33
7
faraja :
uyu mtumishi ,TAPELI sio sili...hii si universal power kabisa and anybody can do this...aikatai KUWA yesu alitumia udongo...LAKINI sio KWA hiliy dear,ungeniambia kidogo udongo WA Israeli ningeamin
2025-08-02 18:58:35
1
To see more videos from user @eddo_osborn_1, please go to the Tikwm
homepage.