@prophetrogersministry: NASA MIKONO YAKO KWA MAJI YA KIOO UPATE FEDHA KIRAHISI Maji ya kioo yananguvu ya kusafisha NYOTA YAKO ya mali #KENYA🇰🇪 #tanzania🇹🇿 #usa🇺🇸 #foryoupage❤️❤️ #foryoupagee #creatorsearchinsights2025 #tiktoklive #livehighlights
njia sahihi ya kujipatia fedha halali na ambayo haina rongorongo ni kufanya kaz kwa bidiiiii kwisha habari.
zingine ni mbwembweeeee
2025-06-26 08:21:19
178
Riley's :
nyieeee ile ya mate kupaka kwa macho😳 weeeeeeeee weeeee nimechanganyikiwa
2025-06-21 14:15:13
34
somi :
Nikweli nimepata kwenye begi millioni 332 ksh leo
2025-06-27 19:20:39
76
Zahara Juma :
Nyie ile ya kuweka miguu na chumvi jamani kumbe ni kweli 🙏🙏🙏
2025-06-22 17:01:15
37
Ivy 💞 :
Hiyo pesa inatoka wapi kma hauna kazi 😂😂😂Hii Sasa ni uongo tupu
2025-06-22 13:06:59
50
KEYLA OUTFIT 🔥 👗 :
zimeanza kuja taratibu ngoja niongeze speed in JESUS name🤲
2025-06-21 16:08:15
44
Jama wa prado :
hivi ndio mtu hupata majini😂😂😂😂
2025-07-25 19:02:57
34
Anna :
yani nimesumbuliwa na asidi vidonda vya tumbo miaka mitano nilikua nakuywa uji na mihogo vyakula vyote vilinikataa lakini jana nimekunywa maji yakioo nimepona nimekula kila kitu mungu akutunze
2025-06-21 21:22:54
26
ODM DIEHARD :
rudisha huu ujinga facebook wewe wazimu
2025-07-08 12:46:53
10
consolatachibella :
What if you are not doing any job any business
2025-06-21 15:04:42
15
LYZAH :
napokeya miujiza
2025-06-22 09:21:43
7
Thedy Aniah :
Baba wew ni msema kweli,tangu nimeanza kutumia haya maarifa haki nimekuwa nikimuona Mungu, ubarikiwe sana baba 🙏
2025-07-17 07:58:02
18
Danford :
Anapataje pesa bila kazi
2025-06-27 15:07:46
9
mamka :
ukimaliza maji unamwaga?
2025-06-22 07:13:27
8
Vanypesa Kanyambo :
ww unazo izo pexa mpumvavu zeni sikuizi kila mtu ni mganga tafuteni kazi za maana acheni usenge
2025-06-21 19:17:11
20
ka bebe$ :
yani uyu kaka kaniokowa naicho kiyoo mpaka ivi naona kama naota tu🤦🙏 nikuombeye tu mungu akupe maisha marefu amiin
2025-06-21 13:29:18
13
Deborah Mathias 💛🇹🇿🇴🇲💛 :
Na Sisi Ambao hatuna hata Biashala pesa itakuja Kwa njia gani🙏🙏🙂🙂