@uzazivitamin: Replying to @user3927737146107 JE HUYU NI WEWE ? #dallas #texas #ohio #canada🇨🇦

UZAZI VITAMIN|+255624602223
UZAZI VITAMIN|+255624602223
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 21 June 2025 16:20:30 GMT
237976
2371
81
610

Music

Download

Comments

madamsara7
madamsara7 :
njia gani nzuri ya kuzia mimba
2025-06-22 07:50:25
3
chuga.girl201
[email protected]👁️j@ mazeng@🖇️🖤 :
Kwaio mnatufokea tupeni plan nzurii sasa maana atutakii kuzaaaa sana
2025-06-22 06:35:18
5
heenaartistkampala
heena artist kampla :
sumu hiyo mbona hatuzioni
2025-06-23 16:17:00
0
nasary.mtawamba8
Nasary :
uongo mtupu
2025-06-22 16:31:06
2
neemasteven87
neemasteven208 :
hya walioweka hiz sumu wasemjee🤣🤣🤣
2025-06-22 06:40:39
0
mrs.nabil4
mrs kidoti :
mbn ukiacha tu wengine unazàaa au ukisahau tu kuenda umeisha
2025-06-22 06:52:26
2
husseinhassaname73
HUSSEIN HASSAN AME :
tena ukitumia uzazi wa mpango andaa majibu ya kumjibu mungu siku ya kiama kama huwezi kujizuia kufanya mapenzi siku za ha basi zaa tu
2025-06-25 10:08:56
1
fettynzige23
fettynzige23 :
kama najiona vilee takavyo zaa kma kuku maana ndo kwanzaa nipo nalea first born nasijawah tumia kingaaa ndo mnanitishaa hvyo🤣🤣
2025-06-22 19:57:38
1
mwajumahassan04
mwajumahassan922 :
mm haikudumu yan baada ya miezi 3 mimba hiyo ....kwakweli damu yangu sio mchezomchezo
2025-06-23 09:45:38
0
mrrezza09
Rezza :
me nilinenepa baada ya kuzitoa... asaiv naenda mwaka wa tatu ndo naanza kurudisha mwili wangu .... hapan kwakweli 😂😂😔
2025-06-22 19:21:33
0
nyonyoma14
nyonyoma :
me naon bora kufungia ped kweny kopo bs njia y asili m
2025-06-23 05:14:02
0
___africanbeauty
𝐀𝐅𝐑𝐈𝐂𝐀𝐍 𝐁𝐄𝐀𝐔𝐓𝐘❤️ :
Sema huyu doctor huwa ana jicho bwanaa😩😩😩
2025-06-21 19:40:40
0
sawaya438
sawaya :
angehubiri mambo ya msikiti aachane na vitu ambavyo havijui sulle anazingua
2025-06-24 08:32:23
0
minnah914
minnah :
jaman kweli cyo uwongo
2025-06-22 18:29:32
0
user7057909418797
user7057909418797 :
mimi nimechoma miaka 6 nimeoza kila kona
2025-06-23 08:54:02
0
naomiaisaac358
naomiaisaac358 :
mi naenda kuwauliza wadzabe wanapangaje uzazi
2025-06-23 05:32:37
0
mrsdr311
Mrs🎶…soul🧿 :
Nani kaweka hiyo sumu kwenye sindano jmni
2025-06-22 18:39:17
0
user7106951263328
user7106951263328 :
Miozo hoyeeee
2025-06-26 13:37:43
0
emmanuelmpwembwe
Emmanuel Mpwembwe :
we fanya usaf kwenye makochi humo utaziona
2025-06-22 16:42:11
0
user9358mick
mick :
siku zako nimeziokota uku njoo uchukue daah kumbe niwewe ulizidondosha😅😅😅
2025-06-22 16:18:24
0
masturahesmin
Charo :
nmezishoma na saiv nna mtoto nanyonyesha
2025-06-26 20:28:04
0
user5030155526742
Roseminer@@@@ :
ndo mana tunakuwa miili ya ajabu magonjwa ya uzazi kwanawake hayaishi kila siku yanaibuka
2025-06-22 16:55:12
0
user9033931092561
mama love 💕 :
kweli kabisa
2025-06-30 09:30:32
0
user6266672557507
unestar boy :
hakuna njia sahihi ya kuzuia mimba wewe zaatu imeutaka mwenyewe acheni umaraya mtafute mungu
2025-06-22 17:26:07
0
larahcolletion6
Larah🫂❤️ :
mimi nimechoma nyingi aiseee😢
2025-06-22 06:25:11
0
To see more videos from user @uzazivitamin, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About