@shadrackngerange1:

𝑴𝒓 𝒋𝒂𝒎𝒆𝒔360🌹
𝑴𝒓 𝒋𝒂𝒎𝒆𝒔360🌹
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 07 July 2025 08:17:18 GMT
184930
7043
492
376

Music

Download

Comments

mariamu.kitivo
Mariamu Kitivo :
daaaa kama hujapitaa ukuu huwezii kuelewaaa nakumbuka 825
2025-07-08 18:03:47
21
user3732592844484
mr Gobetse :
hapo unakutana na service man mnaa mbn wewo
2025-09-01 09:24:12
0
soxsed
Wilson Henry :
mxenge nn jikute anodi mxenge uje uvunje kiuno .noma sana 845kj
2025-07-08 12:03:25
43
messi16oo
Rayton Sanga :
Enzi zang hapo hunikuti nisha doji mapema … naandaaa nguvu tu 😂😂😂 839 KJ
2025-07-10 05:42:57
9
user2269615190551
45diegolove :
Jeshi ni Taasisi ya nidhamu lakn kama wewe mkufunzi service man unatukana hivyo sasa jeshi nidhamu yake iko wapi???
2025-07-10 08:47:16
12
godyjaguar
Gody Jaguar :
dudu ka2mia maji ya m2😂😂😂... oya wanangu wa 845 kj
2025-07-10 10:34:48
10
zacky.mwaipopo
Abuu shazda :
badala yaweke cheni asee yanajila🤣
2025-07-10 11:36:29
20
007ms7
mr NòbódY :
kulutu ni nguvu kazi jeshini😂😂😂😂😂😂😎
2025-08-26 15:38:20
1
edithageorge901
@eddie :
yaani service man jamani ka tayari wamepata ajira....ila life vyenye alina usawa baadae unamkuta kitaa kapigika
2025-08-11 21:34:35
0
onika2808
onika2808 :
minilimuambia aruke
2025-08-23 21:59:14
0
jr.james.tz
Jr James tz :
830 kj
2025-07-08 19:01:01
6
wiz_tiger
Its your boy wizzy :
Apo sm wanafosi mzigo uishe usije ukawadodea mujibu wakisepa 🤣🤣🤣
2025-07-10 05:09:50
41
user5063586671613
user5063586671613 :
fanya kazi kama piston 😁 nikupishana tu
2025-07-12 17:02:27
2
brayohaulez
brayo haulez :
majeshi ya nchi yetu na matusi sijui vinauhusiano gani 😂😅
2025-08-01 07:31:41
0
robynhoodgodfrey4
Robynhood Godfrey :
unajikuta anod🤣🤣🤣
2025-08-02 13:55:22
0
user6304680825881
Godwin 1234 :
hahahahq kudadek unamkumbuka mzeee wa bomba la njanoo
2025-07-09 20:44:49
0
marxleuna
user1391628490321 :
😅😂🤣 mpaka wakubali namsos kdg kula kulamba lamba
2025-07-22 20:08:14
0
raheem.hamzatz
Raheem HamzaTz :
hawa kma walitekwa hawatakaa tena wakubal kutekwa kweny kibangara cha ujenzi😆😆😆
2025-07-09 20:29:50
6
sheilasiara
sheila siara :
baba wachakae wafany kaz za watu uruma sio malezi
2025-07-19 20:20:04
0
paskalia107
paskalia official :
unataka mama yangu atoke mbeya aje kubeba kifusi😭😭😭😭
2025-07-08 12:46:23
8
ashlyyasar
Naramn🌹 :
wanafanyishwa kazi kisha wanakuja kuishi mtani dah
2025-07-22 20:35:28
1
kibaret14zombiyoo
rais wa mazombie :
huo sio mwendo wa kuruta baba😆
2025-07-09 09:22:44
2
ssimba.wa.vita
sSimba Wa Vita :
Simba wa vita op mabeyo mzazi 845kj
2025-07-18 09:11:48
0
powermdosho
Giftmdosho :
Hilo lililoruka lilikua linasinziaa babaa
2025-07-09 22:28:05
4
To see more videos from user @shadrackngerange1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About