@bravosegumba:

bravosegumba
bravosegumba
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 08 July 2025 17:42:39 GMT
37694
1389
287
10

Music

Download

Comments

sheyla.lly5
sheyla lly :
Walii wake ni Qadhi ndo anafaa kumuozesha ikishindikana basi Qadhi ampe idhini mjomba Au kaka au babu wa umamani ...
2025-07-09 03:21:55
35
victor_camperboy
FOLLOW ME :
acheni ujinga someni kitabu cha Allah sio vitabu vya watu na kusema ndio dini
2025-07-09 14:50:38
0
abhisham66
Abhisham :
walii wake kadhi
2025-08-17 13:53:58
0
hawaembe2002
Hawa embe❤️ :
asalam alaikum me tayari nimeshaolewa tumefunga ndo me na mume wangu lkn mtot wetu tumemzaa nje ya ndoa sasa apo anafaa kusimamia ndoa yake kam baba ake haruhusiwi
2025-07-10 12:11:24
0
biaishahamisi1
BIAISHA 🌹🌹 :
na baba akikasirika unaweza kupata radhi?
2025-07-09 05:13:36
1
latifa.ramadhani35
gau lukaya@ :
kwanza kwann uzae nje ya ndoa.
2025-07-09 04:48:44
0
anjoum12
Anjou🩵 :
Ila wa Islam ndo mna mnaambiwa mna roho mbaya sana
2025-07-09 17:37:06
1
falkiajabir691
Falkia Jabir :
je nvp kwa mwanamke alie fiwa na babake na hana kakake wala hana mjomba wakumtolea idhn nani wakumtolea idhin kma hao wote awapo.
2025-07-09 08:19:43
0
wathabi3
user4546501159367 :
qadhi jamani kuweni makini, akiozeshwa na mwingine ndoa batili
2025-08-16 15:37:16
0
samirasule1994
balloon brothers :
kadhi ndio walii wake au atakaye idhinishwa na kadhi☺️☺️
2025-08-15 17:10:32
3
suleiman9092
suleiman :
jaman yafaa tujue wenye mamlaka yakuozesha ni upnde wa baba tu ktk ndin ya hakki ya uislam upande wa mma hauhusiki kabisa
2025-07-09 14:43:41
1
dasaumapochi
da sau mapochi 👜👛 :
na wakiume nae anafungishwa ndowa na Nani ili nijiandae mapema kwa kijana wangu
2025-07-09 11:21:40
0
nyota.njema52
Nyota :
Ndugu wa upande wa mamaake vizuri iwe mjomba wake
2025-07-08 22:44:13
2
user492710788
Agatha :
je kama amezaliwa kwenye ukristo walli wake ni nani
2025-07-09 08:26:14
1
sabkiunassibu
Sabkiu Nassib :
hata sheikh atakae ozesha hiyo ndoa inafaa kama ni muadilifu anaweza kua walii ikiwa makubaliano yamepita
2025-07-09 22:43:29
0
qarii_abdulrahman_sheikh
القارئ: عبد الرحمن الشيخ :
Her wali is the Muslim ruler – if she is living in a Muslim country. This is indicated by the report narrated by Abu Dawood (2083) and al-Tirmidhi (1102), according to which the Prophet (blessings and peace of Allah be upon him) said: “The ruler is the wali of the one who has no wali.” Classed as saheeh by al-Albaani in Irwa’ al-Ghaleel, 1840 If she is in a non-Muslim country, the director of the Islamic Centre takes the place of the Muslim ruler, so he is her wali for marriage. Some scholars – such as Imam Abu Haneefah (may Allah have mercy on him) – give precedence to relatives on the mother's side over the ruler with regard to guardianship, such as the maternal uncle or grandfather, because they are closer and more compassionate than the ruler.
2025-07-09 14:55:57
4
002totolaukweli
TOTO LAUKWELI ❤️🔐 🔐 :
kwaiyo mm babangu afahi kutoa idhini ya ndoa yangu na mm nashinda kumtumia pesa kila mwezi kumbe siku ya kqiama ntakuwa mtoto yatima
2025-07-09 18:24:56
1
my.mammy.aish
My @mammy Aish :
fulstop waume mifereji itulizeni wanawake visambu vitulie hila hisia haya kwenye hisia mcontrole Sana ....mpo
2025-07-09 16:08:46
0
salamzenj99
salam :
sheria za zinaa zipo katika hiyohiyo Quran lakini hazitekelezwi halafu tunaangalia kilichotokana na zinaa wakati tulikuwa tukomeshe zinaa kwanza ndio mambo mengi yaangaliwe
2025-07-09 09:07:03
0
asnee41
user2619560557014 :
mbona mm mke wangu idhini ilitoka kwa kaadhi
2025-07-09 14:31:16
1
amina.issa7
Amina Issa :
kwan mtot wa nje ya ndoa hatakiw kulelew na baba ake
2025-07-09 08:01:24
0
jida2829
jida :
Kwa Kweli Kwa upande wa wanaume imekuwa kwao ni kinga ya kutotunza watt wao wa nje ya ndoa kisingizio eti ni mtt halam atakiwi kuhusika nae wakati yeye anamuachia mama wakati dhambi wamefanya wote wawili na kapatikana mtt, mtoto yeye ana kosa gani na ndo wanasababisha na akina mama wanatenda dhambi ya kua kwani anajua akidhaa unakuwa ni mzigo wake aliye sababisha ana Kaa Kando eti mtt ni halam wakati ana hatia halam ni yeye aliye sababisha apatikane inabidi Sheria ya Kiislam iliangalie hili Kwa nini mtoto asipate haki kama watoto wengine kwani yeye ana kosa gani.
2025-07-09 13:29:37
2
dullaaa1
marzouk :
CHA MSINGI NI KUACHA ZINNAH. TUANGALIE MZIZI WA TATIZO NA SIO KUTAFUTA HOJA NA KULIFUNGIA JICHO SABABISHI LA TATIZO
2025-07-09 09:22:11
6
victor_camperboy
FOLLOW ME :
kazi zenu unafik,fitna,na chuki tu hamna elimu yoyote zaidi ya ujinga na kuwapandikiza watu ujunga kwa kisingizio cha dini
2025-07-09 14:52:16
0
ayushley
Ashley :
Wanaume wacheni zinaa mtakufa vibaya
2025-07-09 17:07:16
1
To see more videos from user @bravosegumba, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About