@siasatz: Mlitaka desturi gani wakati kuna katiba?, Unasema iachwe katiba na sheria ifuatwe desturi muingie kwenye uchaguzi wa chama chenu hii desturi huko CCM ilianza lini wakati hamjawahi kufiwa na M/Kiti aliye madarakani? Mabeyo alivyowapiga K.O mkaanza kujipanga 2025 mkijua huyu Mama hatataka kuendelea. Mkutano Mkuu nao ukawapiga K.O mnaanza kutoka mashimoni mmoja mmoja. #SiasaTZ #SiasaZetu #CCM
Uyu alikua ana msimamo gani wakati yeye ndio kaharibu alishindwa kupindua nchi kama traole
2025-07-20 11:54:19
46
mazee338 :
Ila Mama Samia Mungu amlinde… na wanawake wengine wajifunze 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
2025-07-20 12:22:24
29
user24024190945116 :
General Mabeyo alisimama imara sana anasitahili pongezi 🙏🙏
2025-07-20 18:06:49
26
aziz mkumbo :
Ni Rais gani atakua mwema kwenu watanzania. maana marais wote walopita wabaya tu. muongozwe na jini.
2025-07-20 13:49:49
8
Tariq simba :
ungechukua nchi mabeyo
2025-07-20 11:51:35
20
Mr_lonely :
Bora hilo genge lingeweka mtu wao😁😁😁
2025-07-20 14:44:54
12
Samaki Mtumwa :
Jeshi Imara Nchi Imara kazi Iendelee
2025-07-21 04:27:30
7
user8606312617912 :
CDF yeyote angesimamia hilo, kati ya kazi za TPDF ni kuilinda katiba ya nchi, kumbukeni hii katiba haijatungwa na Jeshi la wananchi, Jeshi la wananchi ni imepewa nguvu ya kuilinda katiba kwa mujibu wa katiba hiyo hiyo.
2025-07-20 17:52:14
3
Abdillah :
Nashukuru nimeshuhudia Mtanzania ambaye ni Mzalendo na Taifa lake...
2025-07-20 12:47:04
14
professa wa kitaa :
mungu akubariki mabeyo...mama Samia amekuwa msaada mkubwa sana
2025-07-20 13:47:31
15
KIBAIK :
yaan wasukuma sijui ni lin tutabadikika
2025-07-20 15:23:38
6
Elisa Elisa :
Mabeyo hakukosea. Alifuata katiba kushauri. Basi tushughulikie katiba.
2025-07-20 14:31:29
11
user8577532283002 :
Na Hilo genge inawauma sana kwamba MAMA anaenda Tena kuwa Rais Hadi 2030
2025-07-20 12:46:59
14
Akimu Abdallah :
magufuli alikuwa fara sana aliongoza nchi kama mwendawazimu
2025-07-20 17:03:05
1
Diplomat :
sahii amepewa cheo na Samia kwa kuheshimu utawala, nadhani kuwe na vigezo vizuri kupima .
2025-07-20 16:51:26
1
karimmveyange :
HALIJASHINDWA,VADO LINAPAMBANA KWA SPEED 200. FUATILIA UCHUKUAJI WA FORM ZA UBUNGE HUKO MAJIMBONI
2025-07-20 17:22:54
1
user9026705325761 :
huyu CDF wa kutoa hotuba kama ya mtu wa la 7
2025-07-21 14:03:33
0
aziz mkumbo :
Na mtatoa clipu mpaka za mkwawa. mwisho wa siku samia tunae
2025-07-20 13:48:35
8
jonte :
mama alishiliki kumuondoa mwenzake Dunia ngumu sana
Ibara ya 37(5)
Inasema kwamba:
“Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kwa sababu yoyote ile, ikiwa ni pamoja na kufariki dunia, kujiuzulu, au kushindwa kabisa kutekeleza majukumu yake, basi Makamu wa Rais atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa muda uliobaki wa kipindi cha uongozi wa Rais aliyefariki, kujiuzulu au kushindwa kutekeleza majukumu.”
Kwa hiyo, Makamu wa Rais ndiye anayepaswa kuchukua nafasi ya Rais aliyefariki hadi kipindi chake cha urais kitakapomalizika.