@avopatips: Tujifunze hapa kutoka kwa mzee, hii ni kwa wale ambao hawajaoa na waliooa pia. #avopa #mahusiano #ndoa #mwanaume #mwanamke

Avopa tips
Avopa tips
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 20 July 2025 15:50:44 GMT
1941544
90718
1091
9947

Music

Download

Comments

user7312332814925
datius :
yakwanza nitabia ukifata sura utapotea sana 😄😄 wanaokubaliana na mimi gonga like
2025-07-21 13:38:56
271
anny200
N🥰j🥰eri :
sura , dini , ukoo , tabia , kipato
2025-07-20 15:58:31
152
maleema08
Maleema❤️ :
Si mmeskia sura hapo eeh😂😂😂 aya
2025-07-20 21:18:00
29
richflavour
RICH FLAVOUR :
Nikajua ki Tako kumbe kipato😅
2025-07-20 18:06:02
27
kelvinmutethia826
Kelvin Mutethia :
Amesaau Na nyash
2025-07-20 23:25:14
22
hilarykoech0
Kipkoech❤ :
Wenye sura mbya nani atawaoa
2025-07-20 18:35:52
20
user4934706600258
Ev.wooby :
mzee hayuko sahihi kwa baadhi ya hoja mfano hoja ya 1,3 na ya tano hayuko sahihi kabisa kabisa.
2025-07-21 08:54:00
16
raymond_turn
Raymond :
hao ni wanawake watano tofauti
2025-07-20 21:44:34
16
sishwaibu
shwaibu :
kwenye kipato tuu vingene vitapatikana🤣
2025-07-20 17:37:20
15
samwel.twaky
malecka,,malecka### :
nakupenda sana mzee wangu ,,mungu akupe maixha marefu na yenye baraka tele,,🥰🥰
2025-07-20 20:16:59
14
emmanuelelijahtz
Ĕmma Ťhe Bøy🇰🇪🇰🇪🏹 :
kumbu keni sio kila mzee ana Busara kwahyo kama sifa ya kwanza ni sura matako na shepu vita kua mama Bora wa watoto
2025-07-20 21:44:14
13
siahfelix489
siahfelix :
hawa wanaotaka kalio wapelekwe wap😂
2025-07-20 18:13:58
13
joyce.agitsa5
lovelylexy :
mzeee umekosea tabia mwanzo izo zingine badae
2025-07-21 09:02:54
11
dizo.z06
Dizo24 :
mzee umekosea saana kutoweka tako kwenye sifa za uchumba, roo imeniuma saaana
2025-07-21 15:33:22
11
philanthrope1
philanthrope :
ya kwanza ni matako
2025-07-22 04:52:45
10
joy.nafula1
joy nafula1🇰🇪 :
sai ni nyash mzee juu kama auna nyash wewe sio bibi😂😂
2025-07-21 07:10:32
9
sandante5
San Dante :
Sura , rangi , shepu , tumbo , umri
2025-07-22 12:54:45
9
user2098140045666
Caïf :
Qui peut m'aider en français
2025-07-20 23:07:59
9
niite.steve.g
Niite Steve Øg :
mzee katupiga kamba kwny neno NDOA Maana yake au kirefu chake NDOA anasema DAIMA OMBENI AMANI. kasahau mwanzon neno N😅
2025-07-21 21:04:51
8
shebyally2
Sheby Ally :
ya kwanza ni tako 🤣
2025-07-25 22:25:46
8
user1048107650703
wangira jr :
hapo kwa sura niko na wewe babu
2025-07-21 05:49:47
8
davidalex2014outlook.com
David :
Nyumbani (N) daima (D) ombeni (O) Amani (A) (NDOA) 100%
2025-07-21 06:02:18
8
user13572853002707
J S M :
hakuna hapo umetupiga
2025-07-20 17:56:40
8
johnmm225
john :
ukoo amemaniisha nini
2025-07-22 10:35:25
6
eunicemonyancha
First lady❤️❤️ :
sasa kama amesema Sura Mimi mwendo nimeumaliza, so sitaolewa???
2025-07-25 06:46:20
6
To see more videos from user @avopatips, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About