dawa ya infection
1. Tangawizi kidole kumba
2.Kitunguu swaumu 5-6punje
3.kitunguu kizima
4.karafuu robot kijiko
5. maji glass 2 Chemsha vzr asubuhi utakunywa asubuhi na jioni ndani ya siku 7-14
2025-07-24 07:58:04
141
rey wa momba :
jaman nilikua natokwa na uchaf wa maziwa nimetumia nimepona kbsaaaa
2025-07-22 05:34:16
127
rachel_kim :
haya pia mtuambie kabsa kubeba mimba ni chapuuu ukitumia mchanganyiko huo😂😂
2025-07-22 08:11:58
49
mariam mkumbo 💕 :
Wiki tatu zilizopita nlikuwa nakunywa ili nijitibie tu mpk leo nna mimba nmekoma
2025-07-22 19:50:51
32
user2937926547442reen :
am living testimony
2025-07-23 18:00:54
5
flower_cosmetics :
Jamani ukitumia karafuu unaconceive haraka ata kama hujafikia ovulation😂
2025-07-22 07:54:57
11
Diana Erasmus :
Yaani ukifanya hii unawahi kupata matokeo ambayo hukuyatarajia (Mimba) na baada ya hapo ndo kupona kuna fata😂😂😂
2025-08-04 07:54:01
5
user7743790385730 chimamy :
Nilijua wataka kusema unatawaza
2025-07-22 07:03:31
9
bellamurei :
please kingereza saumu ndo nn
2025-07-22 18:02:40
4
Maaulidy :
sasa glass 2 unatumiaje siku 7
2025-07-22 12:25:08
5
yuster :
mim mbona nikitumia karafuu naingia period .au naweza nikatumia kitunguu maji, tangawizi na kitunguu saum?
2025-07-22 06:54:29
6
D.j💫💋💞 :
samahan dokta kiuno kinauma sana alafu natokwa na uchavu usioeleweka una mchanganyiko wa damu..
2025-07-22 11:46:23
9
Chris Wayne KE :
mtu anieleze kitunguu maji ndio gani
2025-07-24 05:38:50
2
mamanaa :
kweli kaka inafanya kazi Mimi nilitumia
2025-07-22 04:59:28
18
Gladys glady :
karafuu ndio gani?
2025-07-22 19:13:42
5
Msoffe outfit :
angalizo mjamzito asitumie na kama hutaki mimba kuwa makini siku za hatar usitumie hii dawa
2025-07-22 10:18:34
5
Neema kitamkanga :
kweli dokta mm natumia hiyo inanisaidia sana hata kama hupati ute ute wa uzazi ukitumia hii inasaidia
2025-07-22 05:28:35
10
reby❤️ :
Mjamzito anatumia
2025-07-22 05:01:34
5
Esther wambui :
kitunguu maji ni gani please?
2025-07-22 12:46:30
4
Wahidi Alawi :
vip wale wake zetu walio na ukavu sehemu za siri wakati watendo
2025-07-23 05:19:03
0
Anko J :
hasa sie wanuka pumbu😝😝
2025-09-10 22:32:21
0
Bella💕 :
Nilikua naingia period siku saba bila mpangilio nimetumia siku mbili tu nimeaingia period siku nne tu km zamani 🤗🤗
2025-07-24 13:27:10
3
ma muda❤️💕 :
nilikunywa nikablid atar hapa naogopa mimba tu
2025-07-23 16:07:52
1
@mbuzi_25 :
dokta nataka nirud kama zaman nilikua napiga bao 5 mwanamke akija kulala sasa iv napiga 4 adi 3 nifanyaje 🥺
2025-07-22 13:19:09
3
B one :
je kama natumia sindano ya uzazi wa mpango je naweza pata mimba nikitumia huo mchanganyiko
2025-07-22 11:45:34
2
To see more videos from user @aboubakarsadik01, please go to the Tikwm
homepage.