Kaka hizo faida zote ulozitaja ni zenyewe kabisa Ila kitu kimoja tu kunywa maji ya bamia (okra water) Kla cku ni hatr inawez kusababisha madhara kw cbb bamia Ina mucilage ule Ute ukinywa Kla cku unaganda na kukaliana kweny tumbo kitu ambacho kitasababisha kuwa na gesi nyng na kuharisha sana na k2 chengn bamia 4 sio afya bamia zikiwa mbili tu zinatosha unakata vipande vipande ukikata bamia 4 mucilage itakuw nyng sana tumboni just nawakumbusha tu EXCESS IS ALWAYS HARMFUL so lzm tubalance v2..na faida nyengn kubw ya maji y bamia ni kuleta ute mwingi kw mwanmke na kumfanya awe fertile..na kw mwanaume inaongeza sperm count na nguvu z kiume (libido) kweny upande w uzaz but faida zlobakia zote ni sawa sawa kwa jinsia zote mbili na vzr zaid hilo bamia uweke kweny maji ya baridi kuanzia usiku mpk asubuh then before kula kitu chchte Ndio unywe after 10 days you’ll see a results 🫴🏻
2025-10-14 10:47:31
6
vio :
Bamia ni nini kwa kizungu
2025-07-25 15:10:32
2
DICKSON MWISHEHE KONDO :
Tiba ya kuondoa uvimbe wa tezi dume
2025-08-21 08:22:52
1
nfridah :
Bamia ni nini?
2025-07-25 10:03:59
3
Empresstaamu :
Bamia Ni okra
2025-07-25 19:23:46
1
Joseph Chikunde :
Muongo mbwa huyu
2025-07-27 10:55:18
0
consi :
bamiya ni nini kwa kiswaili ya congo?
2025-07-28 18:47:11
1
Sweashazy - 1 :
Vp,,,?? Kuhux Choo I nasaidia
2025-07-25 11:22:41
1
Mama C :
Mimi bado nauliza vip ndimu/limao na vidonda vya tumbo vinaendana??
2025-07-25 20:27:12
3
Maman Guilaine Kavira :
Bamia ni nini kwa luga ingine
2025-07-25 17:13:03
0
aisha abdalla :
mabenda kiswahil cha mkenya
2025-10-21 18:16:06
1
essy :
ongera Kwa hili,je mtu akuwa na thyroids anatumia nini saidia
2025-07-26 06:01:28
0
ingabire bienfaite :
kwa wale hawajuwi bamia ni ocra
2025-07-26 09:06:51
1
Lily's Havan :
elezea bamia ni nini . kaka
2025-07-25 15:01:27
1
Cheng Lee :
kumbe ndiyo maana simenepiiii, dah sasa nitapunguza bamia maana hadi upepo unanisukuma
2025-07-25 16:11:40
2
chausiku :
lazima ndimu kwani Sisi Wa pylori turuhusiwi kutumia
2025-07-26 15:07:42
2
Mama county😘😘😘 :
pamia nini jamani
2025-07-25 14:14:34
0
yaki mwenyewe❤️ :
Maji ni wekee moto ama baridi?
2025-07-25 09:54:27
2
Gwantwa😊🦋 :
Bimia nilizoleweka kwenye hayo maji naweza kula?
2025-07-25 12:08:23
1
Fogo 🎭 :
Kwa siku ngap😂
2025-09-16 19:34:02
0
mss25 :
kaka kama ni kweli takutumia hat ya maj
2025-09-23 13:22:08
0
Vera :
Na ukiwa na acidity hii bamia na ndimu itasaidia?
2025-10-29 15:16:19
0
Uasum258 :
What's bamia in English
2025-09-12 09:54:05
0
Maishi :
Maji moto au baridi
2025-07-25 15:38:01
0
To see more videos from user @health_solutionstz, please go to the Tikwm
homepage.